Wamasai Ngorongoro kuhama kwa hiari

Wamasai Ngorongoro kuhama kwa hiari

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
wawakilishi kutoka Kata za Enduleni, Kakesio, Aleilai, Alaitole, Nainokanoka, Olbalbal, Misigyo, Engaresero, Olorieni na Kata ya Ngorongoro.

Akizungumzia uhitaji huo, mwakilishi wa wananchi wa Kata ya Endulen, Foibe Lukumay, alisema wananchi hao, hasa wa jamii ya kifugaji ya Kimasai wanatamani kuondoka Ngorongoro na kwenda kwenye makazi mapya ili wakaanze shughuli za kiuchumi kwa uhuru na upana zaidi.

“Nimeamua kuhama kwa hiari yangu japokuwa napata vitisho katika eneo ambalo ninaishi hasa kutoka kwa viongozi, ndio maana wengi hawataki kuhama.

‘Hata sasa, mimi nimepata vitisho kama Mjumbe wa Serikali ya Kijiji, kama Makamu Mwenyekiti Baraza la Wazee wa CCM wa Wilaya ya Ngorongoro, lakini nikaamua kwa hayo yote niondoke kwa hiari ili tuweze kuinusuru Ngorongoro.

Wanyamapori waweze kuwapo maana wameongezeka kwa kweli. Wameongezeka maana mpaka hata kwangu, wanalala mpaka hapo nje.”

Mwakilishi mwingine wa Kata ya Olbalbal, Christopher Oloju, alisema ameona ni vyema aondoke eneo hilo ili kuitikia wito wa serikali kama ilivyoelekeza.

“Nimekubaliana na baadhi ya familia yangu, ila suala la kufika kule na kuona eneo ni jambo zuri. Nikifika pale (Msomera), hata ile familia yangu nitawahamasisha kuhama.

Mahali popote unapoenda ni vyema uelewe kwanza unapokwenda, ukaona kwa macho na kujiridhisha na kuona maendeleo yanayoelezwa.

View attachment 2174920View attachment 2174921View attachment 2174924View attachment 2174922View attachment 2174923View attachment 2174925View attachment 2174926View attachment 2174927
IMG_20220404_000651_146.jpg
 
Wamasai hawataki kuhama kwa hiari ila wanalengwa kufukuzwa ili wampishe mwarabu
Hao kwenye picha sio maasai ni mamluki
Mwarabu katoa rushwa kubwa sn kwa hawa wapuuzi aanze kusafirisha wanyama kwenda nje, pia wakala mkuu wa pembe za ndovu amerudishwa rasmi kwenye system
 
Huyu jamaa anayeongea si mtoto wa Kikwete huyu? Mama anataka kutupeleka pasipo, yaani kuwafukuza Wamasai kwao ili Mwarab aje kuwinda wanyama ambao Wamasai wanakatazwa kuua? Mama Samia ang'oke haraka sana, she's becoming too corrupt kushirikiana na kina Kikwete et al.
 
msipotoshe umma, ukweli ni kuwa wamasai hawako tayari kuhama ngolongolo na loliondo
 
wawakilishi kutoka Kata za Enduleni, Kakesio, Aleilai, Alaitole, Nainokanoka, Olbalbal, Misigyo, Engaresero, Olorieni na Kata ya Ngorongoro.

Akizungumzia uhitaji huo, mwakilishi wa wananchi wa Kata ya Endulen, Foibe Lukumay, alisema wananchi hao, hasa wa jamii ya kifugaji ya Kimasai wanatamani kuondoka Ngorongoro na kwenda kwenye makazi mapya ili wakaanze shughuli za kiuchumi kwa uhuru na upana zaidi.

“Nimeamua kuhama kwa hiari yangu japokuwa napata vitisho katika eneo ambalo ninaishi hasa kutoka kwa viongozi, ndio maana wengi hawataki kuhama.

‘Hata sasa, mimi nimepata vitisho kama Mjumbe wa Serikali ya Kijiji, kama Makamu Mwenyekiti Baraza la Wazee wa CCM wa Wilaya ya Ngorongoro, lakini nikaamua kwa hayo yote niondoke kwa hiari ili tuweze kuinusuru Ngorongoro. Wanyamapori waweze kuwapo maana wameongezeka kwa kweli. Wameongezeka maana mpaka hata kwangu, wanalala mpaka hapo nje.”

Mwakilishi mwingine wa Kata ya Olbalbal, Christopher Oloju, alisema ameona ni vyema aondoke eneo hilo ili kuitikia wito wa serikali kama ilivyoelekeza.

“Nimekubaliana na baadhi ya familia yangu, ila suala la kufika kule na kuona eneo ni jambo zuri. Nikifika pale (Msomera), hata ile familia yangu nitawahamasisha kuhama. Mahali popote unapoenda ni vyema uelewe kwanza unapokwenda, ukaona kwa macho na kujiridhisha na kuona maendeleo yanayoelezwa.View attachment 2174920View attachment 2174921View attachment 2174924View attachment 2174922View attachment 2174923View attachment 2174925View attachment 2174926View attachment 2174927View attachment 2174928
Hawa si Wamasai ni makada wa CCM hawa tunawajuwa.
 
msipotoshe umma, ukweli ni kuwa wamasai hawako tayari kuhama ngolongolo na loliondo
Yaani imemwagwa pesa ya kufa mtu hawa jamaa waondoke na kila mtu amepewa segment yake as kina kitenge walimaliza now zamu ya wengine.

Zile nyumba kule handeni nadhani ni kati ya zile pesa ila jamaa lazima waondoke japo siyo wote.
 
wawakilishi kutoka Kata za Enduleni, Kakesio, Aleilai, Alaitole, Nainokanoka, Olbalbal, Misigyo, Engaresero, Olorieni na Kata ya Ngorongoro.

Akizungumzia uhitaji huo, mwakilishi wa wananchi wa Kata ya Endulen, Foibe Lukumay, alisema wananchi hao, hasa wa jamii ya kifugaji ya Kimasai wanatamani kuondoka Ngorongoro na kwenda kwenye makazi mapya ili wakaanze shughuli za kiuchumi kwa uhuru na upana zaidi.

“Nimeamua kuhama kwa hiari yangu japokuwa napata vitisho katika eneo ambalo ninaishi hasa kutoka kwa viongozi, ndio maana wengi hawataki kuhama.

‘Hata sasa, mimi nimepata vitisho kama Mjumbe wa Serikali ya Kijiji, kama Makamu Mwenyekiti Baraza la Wazee wa CCM wa Wilaya ya Ngorongoro, lakini nikaamua kwa hayo yote niondoke kwa hiari ili tuweze kuinusuru Ngorongoro. Wanyamapori waweze kuwapo maana wameongezeka kwa kweli. Wameongezeka maana mpaka hata kwangu, wanalala mpaka hapo nje.”

Mwakilishi mwingine wa Kata ya Olbalbal, Christopher Oloju, alisema ameona ni vyema aondoke eneo hilo ili kuitikia wito wa serikali kama ilivyoelekeza.

“Nimekubaliana na baadhi ya familia yangu, ila suala la kufika kule na kuona eneo ni jambo zuri. Nikifika pale (Msomera), hata ile familia yangu nitawahamasisha kuhama. Mahali popote unapoenda ni vyema uelewe kwanza unapokwenda, ukaona kwa macho na kujiridhisha na kuona maendeleo yanayoelezwa.View attachment 2174920View attachment 2174921View attachment 2174924View attachment 2174922View attachment 2174923View attachment 2174925View attachment 2174926View attachment 2174927View attachment 2174928
sema huyu ni masai wa mchongo
yaani yuko soft kama anashinda kwenye kiyoyozi
 
Back
Top Bottom