Wamasai wapewe maua yao kwa kuipenda nchi yao!

Wamasai wapewe maua yao kwa kuipenda nchi yao!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Wamasai ni wazalendo, na masomo ya kiraia wametupa:

"Ilikuwa Ngorongoro, tukayasikia Loliondo."

Kwa hakika hawa hata kama wangekuwa Gaza, Mossad wangenyoosha mikono.

Haipo shaka hawa ndugu wanaipenda nchi yao kuliko wapalestina!

Wangekuwa chama, wasingeibiwa kura na katiba waitakayo ingekuwapo kwa terms zao!

Kwa hakika aliyepiga marufuku vyama vya kikabila, hatukujua; kumbe alikuwa kawaona hawa.

Nani kama wamasai?
 
Ritz, Bwana Utam, FaizaFoxy hamdhani wamasai wangekuwa Gaza wasinge tepeta?

Wamekufa huko zaidi 40,000 miezi kumi baadaye.

10% ya namba hiyo wangekuwa tayari kufa day 1 Israel angekuwa bado Gaza?

Haya ndivyo yanayotusibu makamanda ndiyo maana uwaone kina JokaKuu, imhotep, Economist huku?

Ni hiiiiii juu kwa juu kimya kimyaaa ... !

Haki haiombwi!
 
Wamasai ni wazalendo, na masomo ya kiraia wametupa:

"Ilikuwa Ngorongoro, tukayasikia Loliondo."

Kwa hakika hawa hata kama wangekuwa Gaza, Mossad wangenyoosha mikono.

Haipo shaka hawa ndugu wanaipenda nchi yao kuliko wapalestina!

Wangekuwa chama, wasingeibiwa kura na katiba waitakayo ingekuwapo kwa terms zao!

Kwa hakika aliyepiga marufuku vyama vya kikabila, hatukujua; kumbe alikuwa kawaona hawa.

Nani kama wamasai?
Naunga mkono hoja, hata sisi watu wa Kanda ya Ziwa wale pure breed, ombayo ni superior breed tuko na misimamo kama Wamasai, sio unamuona Mpina!.

Ila kutokana na intermarriages, ile pure breed inakuwa contaminated na inferior breed ndio matokeo ya wengi wa waliopo sasa.
P
 
Naunga mkono hoja, hata sisi watu wa Kanda ya Ziwa wale pure breed, ombayo ni superior breed tuko na misimamo kama Wamasai, sio unamuona Mpina!.

Ila kutokana na intermarriages, ile pure breed inakuwa contaminated na inferior breed ndio matokeo ya wengi wa waliopo sasa.
P

Compare and contrast, ukweli usemwe. Si kwa ubaya.

Mkuu wamasai ni specie nyingine huko kuna utawala rasmi, ambako mtu hafanyi tu atakalo bali mila na desturi kuzingatiwa.

Umasaini kiboko chake hakina mzaha bila kujali umri, si kama cha usukumani.

Haipo shaka upagani wa mmasai ni conc. zaidi kuliko usukumani.

Usukumani wamewazidi wamasai hasa kwenye ujinga na ushirikina.

Mmasai hachezwi shere popote, hata iwe bongo Darisalama.

Wamasai babalao, ingekuwa umasai ni chama wengine wengi tu, tunge subscribe huko Kwa maslahi mapana ya nchi.
 
Compare and contrast, ukweli usemwe. Si kwa ubaya.

Mkuu wamasai ni specie nyingine huko kuna utawala rasmi, ambako mtu hafanyi tu atakalo bali mila na desturi kuzingatiwa.

Umasaini kiboko chake hakina mzaha bila kujali umri, si kama cha usukumani.

Haipo shaka upagani wa mmasai ni conc. zaidi kuliko usukumani.

Usukumani wamewazidi wamasai hasa kwenye ujinga na ushirikina.

Mmasai hachezwi shere popote, hata iwe bongo Darisalama.

Wamasai babalao, ingekuwa umasai ni chama wengine wengi tu, tunge subscribe huko.
Naunga mkono hoja ila nimezungumzia pure breed, Wamasai wana maintain uasili, Wasukuma too much contamination kutokana na ule ugonjwa wa Mfalme Suleiman, kila mahali wanaparamia tuu!.
P
 
Naunga mkono hoja ila nimezungumzia pure breed, Wamasai wana maintain uasili, Wasukuma too much contamination kutokana na ule ugonjwa wa Mfalme Suleiman, kila mahali wanaparamia tuu!.
P

Ninakuona mkuu ndiyo maana nikadhani ni muhimu kuweka uzalendo pembeni, fair comparison ihusike:

Mmasai amefanikiwa kurasimisha ubebaji sime, mkuki au mshale kuwa kama vile ni simu tu.

Msukuma kwenye hilo chali!

Penetration ya dini kwa mmasai, zero.

Kwa msukuma kwenye hilo nalo japo naye yumo yumo, ukweli mchungu nalo, chali!

Dini zenye kuhimiza kuzabwa makofi zaidi ikibidi haziwezi kuwa chachu kwenye ukombozi.

Kwa hali hii ni Mpina au msukuma gani anaweza cheza ligi moja na hawa watoto yoyo?

Kwamba ni nani wa kuweza kuwaletea longo longo wapandisha mori wa ukweli hawa?

In whatever case zaidi tu ya wingi wa namba, msukuma ni soft sana.

Palikuwa na haja ya kuwapa kandarasi hawa ndugu kuelimisha jamii hata huko vyuo vikuu kuhusu uzalendo.

Kwa hakika wa kwao ni wa vitendo!
 
Back
Top Bottom