py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Ukweli mchungu Karia ana asilimia kubwa ya kushinda ,kila la heri Ally - JamiiForums
Michael Richard Wambura alikuwa hajui anapambana na nguvu gani.Kipindi cha uchaguzi nilitamani sana Ally Mayay ashinde na wapenda soka wote walitamani iwe hivyo lkn niliandika uzi humu 90% atashinda karia kwa kishindo licha ya kutaka Ally awe rais wa Tff kwakuwa ni mtu wa mpira.
Wallace Karia ana nguvu mno ndio maana alishinda uchaguzi kwa 95% kwa kishindo nyuma yake kuna nguvu kubwa.
Yeye ndiye aliyesababisha Malinzi na wenzie wawe wanakula ugali na maharage wa jela hadi hivi sasa na baada ya kazi hio akazawadiwa urais .
Michael wambura aidha kwa kutojua akataka alete bifu na figisufigisu na mtu huyu mzito mwenye outer na inner power kubwa.Kabla ya kumvaa adui au mpinzani wako kwanza fahamu nguvu na back up yake
Saizi Wambura katangaza kuachana na soka na TAKUKURU wamemgongea mlango na ashaanza kusumbuliwa na kufuatiliwa tusije kushangaa mwisho wake ukawa kama wa akina Malinzi na Mwesigwa akaishia kula ugali wa bure
Usishindane na pandikizi wa system na kibaraka wa utawala utapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Michael Richard Wambura alikuwa hajui anapambana na nguvu gani.Kipindi cha uchaguzi nilitamani sana Ally Mayay ashinde na wapenda soka wote walitamani iwe hivyo lkn niliandika uzi humu 90% atashinda karia kwa kishindo licha ya kutaka Ally awe rais wa Tff kwakuwa ni mtu wa mpira.
Wallace Karia ana nguvu mno ndio maana alishinda uchaguzi kwa 95% kwa kishindo nyuma yake kuna nguvu kubwa.
Yeye ndiye aliyesababisha Malinzi na wenzie wawe wanakula ugali na maharage wa jela hadi hivi sasa na baada ya kazi hio akazawadiwa urais .
Michael wambura aidha kwa kutojua akataka alete bifu na figisufigisu na mtu huyu mzito mwenye outer na inner power kubwa.Kabla ya kumvaa adui au mpinzani wako kwanza fahamu nguvu na back up yake
Saizi Wambura katangaza kuachana na soka na TAKUKURU wamemgongea mlango na ashaanza kusumbuliwa na kufuatiliwa tusije kushangaa mwisho wake ukawa kama wa akina Malinzi na Mwesigwa akaishia kula ugali wa bure
Usishindane na pandikizi wa system na kibaraka wa utawala utapotea
Sent using Jamii Forums mobile app