Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 705
We utafanywa punda (mule) wa kubeba madawa ya kulevya. Utapata vipesa vya kukuzuzua, Utakamatwa, utafungwa na hatimaye utasota. Toka mapema. Kwani huyo mtu anayekuahidi kukupa umaarufu yeye ni maarufu kiasi gani? Ongeza na za kwako.cash sio tatizo coz anani shauri nifungue kampuni alafu nimwambie nahitaji nini!na ameniunganisha na watu mbali mbali kwenye makampuni ya kuuza bidhaa ulimwenguni....nayeye ni mfanya biashara na mbunifu wa mavadhi
Jiunge tu haina shida.Mbona hata prezidaa kajiunga. .......
MP.
hii chai yamoto sana......:scared:
mwana nipe link mimi nautaka huo utajiri unaoukataa wewe! ni inbox contact zake
afu kumbe hii mitandao km facebook inatoa wachumba??? ngoja nikasake na mie njemba lenye mihela.....
Shekhe Yahya angekuwepo angekuambia maana ya hiyo tatuu bahati mbaya ametangulia jaribu kwenda kwenye kaburi lake anaweza kukusaidia... au nenda katavi kwa mpinda kuna mkali waganga wakali.... wa hayo mambo.. kama vipi mtengeneze abaki hapahapa uzidi kumtumbuaHabari wana jf!da mwenzenu nipo kwenye mtego...nina msichana mmoj wa kizungu toka state ananitesa sana.....tulikua marafiki kupitia facebook miaka mitano nyuma akaniambia ananipenda sana na ipo siku atakuja africa kwa sababu yangu.......mwishoni mwa mwaka jana amekuja......tatizo ni moja tuu ananishawishi nijiunge kitu ambacho sikifahamu....na kinanitisha sana tukiwa zenji siku ya mkesha wa mwaka mpya niligundua tattoo ya no#666 kwenye ziwa nilipo uliza akasema nipunguze maswali na tangu siku hiyo ananishawishi vitu vya ajabu ajabu mala anataka nijiunge na vitu ambavyo sivielewi kiundani...anadai naweza kuwa na uwezo mkubwa sana ndani ya africa na ulimwengu ukanitambua......naombeni ushauli ndugu zangu....nijiunge na hii kitu
Habari wana jf!da mwenzenu nipo kwenye mtego...nina msichana mmoj wa kizungu toka state ananitesa sana.....tulikua marafiki kupitia facebook miaka mitano nyuma akaniambia ananipenda sana na ipo siku atakuja africa kwa sababu yangu.......mwishoni mwa mwaka jana amekuja......tatizo ni moja tuu ananishawishi nijiunge kitu ambacho sikifahamu....na kinanitisha sana tukiwa zenji siku ya mkesha wa mwaka mpya niligundua tattoo ya no#666 kwenye ziwa nilipo uliza akasema nipunguze maswali na tangu siku hiyo ananishawishi vitu vya ajabu ajabu mala anataka nijiunge na vitu ambavyo sivielewi kiundani...anadai naweza kuwa na uwezo mkubwa sana ndani ya africa na ulimwengu ukanitambua......naombeni ushauli ndugu zangu....nijiunge na hii kitu
haya mambo ya kutongozana kwenye mitandao end of the day unajikuta umetongozwa na jini
Unaomba nasaha, lakini tatizo lako unalieleza kwa kufichaficha. Unataka tukushauri kwa kubahatisha?Habari wana jf!da mwenzenu nipo kwenye mtego...nina msichana mmoj wa kizungu toka state ananitesa sana.....tulikua marafiki kupitia facebook miaka mitano nyuma akaniambia ananipenda sana na ipo siku atakuja africa kwa sababu yangu.......mwishoni mwa mwaka jana amekuja......tatizo ni moja tuu ananishawishi nijiunge kitu ambacho sikifahamu....na kinanitisha sana tukiwa zenji siku ya mkesha wa mwaka mpya niligundua tattoo ya no#666 kwenye ziwa nilipo uliza akasema nipunguze maswali na tangu siku hiyo ananishawishi vitu vya ajabu ajabu mala anataka nijiunge na vitu ambavyo sivielewi kiundani...anadai naweza kuwa na uwezo mkubwa sana ndani ya africa na ulimwengu ukanitambua......naombeni ushauli ndugu zangu....nijiunge na hii kitu