Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Ni dhahiri Baraza la Mawaziri limeanza kuundwa
Wengine wanangojea PM ashauriane na Rais apate Baraza lililokamilika
Tayari kuna chawa na kunguni zipo kwenye nguo zinakula damu na kueneza bakteria hatimae kueneza ugonjwa wa fitini ni kufitini. Niguse Ninuke.
Si unajua tena mwaka huu ni CCM mtupu hivo wapinzani watapelekewa maendeleo wakiwa wame relux majimboni mwao. Sio jambo la kufurahia kwa sababu tutakosa wasemaji wa wananchi.
Kuna kunguni kutoka Mtwara zinataka kuziba nafasi ya Hussein Mwinyi pale kwenye wizara aloiacha baada ya kuutwaa Urais kule Zanzibar zimeanza kupenyeza umbea kuwa wazee hafai, kuwa wazee Mh Rais wanakuhujumu kaa makini si unasikia hizi siku mbili Mzee kalia sana na Mzee Lukuvi kwanza chini chini huko kamwambia bila yeye asingeshinda, wala hatompendekeza kuwa Rais 2025 so wazee wajipange ila amesahau rafiki yake Mseveni ana karibia 86 na yupo tu pale Ikulu. Bideni je 78 looh hiyo ni roho mbaya, Urais Ubunge na Udiwani hauna kikomo cha umri ni busara tu inatumika.
Bado kuna walamba miguu watauza na kutoa kafara familia zao ili mradi tu wakae kibwetani na wapewe ulinzi wapewe nyumba, housegirl na houseboy, walipiwe umeme ila damu ya mtu iondoke. Tutegemee familia nyingi kuwa na mazezeta, mataira na misiba isiyokwisha
Sasa chawa na kunguni wapo kiungoni mwako, wanajificha kwenye nywele wanajificha kwenye mapindo ya nguo.
Wakianza kulana na kuumana msherekee
Wengine wanangojea PM ashauriane na Rais apate Baraza lililokamilika
Tayari kuna chawa na kunguni zipo kwenye nguo zinakula damu na kueneza bakteria hatimae kueneza ugonjwa wa fitini ni kufitini. Niguse Ninuke.
Si unajua tena mwaka huu ni CCM mtupu hivo wapinzani watapelekewa maendeleo wakiwa wame relux majimboni mwao. Sio jambo la kufurahia kwa sababu tutakosa wasemaji wa wananchi.
Kuna kunguni kutoka Mtwara zinataka kuziba nafasi ya Hussein Mwinyi pale kwenye wizara aloiacha baada ya kuutwaa Urais kule Zanzibar zimeanza kupenyeza umbea kuwa wazee hafai, kuwa wazee Mh Rais wanakuhujumu kaa makini si unasikia hizi siku mbili Mzee kalia sana na Mzee Lukuvi kwanza chini chini huko kamwambia bila yeye asingeshinda, wala hatompendekeza kuwa Rais 2025 so wazee wajipange ila amesahau rafiki yake Mseveni ana karibia 86 na yupo tu pale Ikulu. Bideni je 78 looh hiyo ni roho mbaya, Urais Ubunge na Udiwani hauna kikomo cha umri ni busara tu inatumika.
Bado kuna walamba miguu watauza na kutoa kafara familia zao ili mradi tu wakae kibwetani na wapewe ulinzi wapewe nyumba, housegirl na houseboy, walipiwe umeme ila damu ya mtu iondoke. Tutegemee familia nyingi kuwa na mazezeta, mataira na misiba isiyokwisha
Sasa chawa na kunguni wapo kiungoni mwako, wanajificha kwenye nywele wanajificha kwenye mapindo ya nguo.
Wakianza kulana na kuumana msherekee