Wamedukua account yangu ya Twitter

Wamedukua account yangu ya Twitter

Black BackUp

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
717
Reaction score
666
Habari Jamii yangu ya humu ndani.

Nasikitika sana baada ya masaa kadhaa kupita ndio napata notification kwamba kuna mtu/kikundi cha watu wameweza kuingia kwenye account yangu ya twitter na kufanya walichofanya then wakatoka.

Nimeshindwa kuscreenshot ule ujumbe kwa sababu zangu binafsi . lakini ujumbe unaonesha aina ya device waliotumia, Location ambayo ni unknown na muda, siku na saa na mwisho wakanishuri kubadilisha nywila/password yangu.

Bado nazidi kujiuliza wanaofanya shughuli hizi/udukuzi wanafanya kwa malengo gani, wanalenga watu gani.
Ndugu zangu nimeleta hili swala mbele yenu nipate mawazo yenu tofauti.

Karibuni sana
Mimi Mwana JF
 
Back
Top Bottom