Wamedukua account yangu ya Twitter

Black BackUp

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
717
Reaction score
666
Habari Jamii yangu ya humu ndani.

Nasikitika sana baada ya masaa kadhaa kupita ndio napata notification kwamba kuna mtu/kikundi cha watu wameweza kuingia kwenye account yangu ya twitter na kufanya walichofanya then wakatoka.

Nimeshindwa kuscreenshot ule ujumbe kwa sababu zangu binafsi . lakini ujumbe unaonesha aina ya device waliotumia, Location ambayo ni unknown na muda, siku na saa na mwisho wakanishuri kubadilisha nywila/password yangu.

Bado nazidi kujiuliza wanaofanya shughuli hizi/udukuzi wanafanya kwa malengo gani, wanalenga watu gani.
Ndugu zangu nimeleta hili swala mbele yenu nipate mawazo yenu tofauti.

Karibuni sana
Mimi Mwana JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…