Generetaion Z
JF-Expert Member
- Oct 2, 2022
- 343
- 874
Ninajuiliza na kuwauliza wakuu
Watu wa singinda hasa warangi yani hawaendani na pombe kabisa yani hata akanywa basi pombe itampeleka katika kuanzisha ugomvi
Wengi nimewaona hawaziwezi pombe hata kidogo, pia ukiwauliza wanakwambia haramu,ila huyo huyo anaekwambia pombe haramu anakula mirungi kama maini,
Wameikosea nini pombe hawa watu mpka inawakataa kiasi hiki ,pombe ni realme
Watu wa singinda hasa warangi yani hawaendani na pombe kabisa yani hata akanywa basi pombe itampeleka katika kuanzisha ugomvi
Wengi nimewaona hawaziwezi pombe hata kidogo, pia ukiwauliza wanakwambia haramu,ila huyo huyo anaekwambia pombe haramu anakula mirungi kama maini,
Wameikosea nini pombe hawa watu mpka inawakataa kiasi hiki ,pombe ni realme