KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
"No.6 Joseph Mbilinyi a.k.a Mr.2 Sugu asieogopa kuongea ukweli popote hata kama kuna hatari ya moto na mabomu, Tunahitaji Spirit zaidi za aina hii. Hatimaye muziki wa Tanzania utapata wa kuutetea, tumesota saana, wengine wanafurahia"
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
We ladyjay Dee kama kweli uko real si ungeweka kambi Mbeya na bendi yako kumsapoti?
Nimejaribu ku-search japo picha moja ya kampeni yake sijaiona kwe blog yako.
Acha unafiki tafadhali.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
We ladyjay Dee kama kweli uko real si ungeweka kambi Mbeya na bendi yako kumsapoti?
Nimejaribu ku-search japo picha moja ya kampeni yake sijaiona kwe blog yako.
Acha unafiki tafadhali.