Jaman wana JF kuna mateso ninayopata katka kupata hii elimu yangu yan kila mwaka mpya wa masomo unapoanza huwa jina langu harirudi kwa ajili yakuonyesha loans allocation mpaka nipambane sana mwaka jana kipind kama hichi nilipata shida kwa miezi takriban mitatu nadaiwa kodi ya nyumba hela yakula sina naishi kwa kuomba omba baada ya mateso yakusoma kwa kushinda na njaa nikapata msamaria mwema ambae ana mtu wake anae anamfam pale loans board ambae hata cmfaham akanisaidia nikapa mkopa wangu kwa mwaka jana .Mwaka huu ntapata nan tena wakunipa msaada???!!! .mbya zaidi nina mzaz m1 wakike ambae hana chochote chakuweza kunisaidia kweny hasa kweny suala la tution fee na kod ya nyumba kwani huwa nategemea hela ya meals and accomodation kwa ajil yakulipa yan leo baada yakuangalia nakukuta jna langu halipo tena nmekata tamaa kabsa yakusoma nakunyong'onyea kabsa ,,,sina nani wala nan ni mm one man army hzi semista mbili nlizobakza ntazipeleka vp,,,mana mwaka huu nasikia tunaweza tukatoka holaa kabsa. wazee weny nyumba vpnd hiv huwa wanakuwa wakali wakijua kuna first year wamekuja kama. huna hela bora uondke!!!Yani nahic kukata tamaa kabsaaa...bodi mna bifu na mm na mkopo nmeupdate kabsa na kop ninayo....Cna pakuanzia kwakweli!!!