Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Kama umeufunga uzi huu vile!wakina Koffi Olomide walivyokuwa wanakula hela zetu miaka ile wakija bongo walikuwa wanaimba kwa kindengereko!?!
Acha mahaba ya namna hiyo mkuu...kwenye mziki kuna lugha moja tu kama ilivyo football
MAYOTTE ndo nchi gani, kuuliza si ujinga
Mayotte ni kisiwa ndani ya bahari ya hindi, wakazi wa kisiwa hiki walikataa kuwa chini ya utawala wa mwafrica, wakaamua kuwa chini ya utawala wa ufaransa. Kwa hiyo ukienda Mayotte, mambo yote ni Ufaransa. Ni karibu sana na Commoro, kama nimekosea mnisamehe.MAYOTTE ndo nchi gani, kuuliza si ujinga
wacha uvivu!MAYOTTE ndo nchi gani, kuuliza si ujinga
Waulize clouds Tv kuna fursa Zipi huko.Hivi kutoka Tanzania hadi Mayotte ni sh ngapi? Je walio wahi kufika huko ni fursa gani zinapatikana huko?
kilinunuliwa na ufaransaMayotte ni kisiwa ndani ya bahari ya hindi, wakazi wa kisiwa hiki walikataa kuwa chini ya utawala wa mwafrica, wakaamua kuwa chini ya utawala wa ufaransa. Kwa hiyo ukienda Mayotte, mambo yote ni Ufaransa. Ni karibu sana na Commoro, kama nimekosea mnisamehe.
MAYOTTE ndo nchi gani, kuuliza si ujinga
Kweli nimeamini africa mnahaki ya kuwa maskini kulingana na ujinga wa uwezo wenu wa kufikiri!Waulize clouds Tv kuna fursa Zipi huko.
Swali lako ni la kishari Fulani iv so jamaa kaksoma vizuri akakujibu ambayo ulikuwa hutegemei ndo maana umepanicKweli nimeamini africa mnahaki ya kuwa maskini kulingana na ujinga wa uwezo wenu wa kufikiri!