Wamepotelea Wapi Hawa Wasanii?

Jamal naeem

Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
72
Reaction score
20
Mbona kimya sana kuhusu hawa watu, wenye taarifa zao atwambie maana tunawakumbuka sana.

1. Snoop lee
2. Mabaga fresh
3. Rich one
4. sister P
5. Zay B
6. Suma G
7. Rado
8. Balozi
9. Pauline Zongo
 
Wamefia underground.. Walishindwa kutoka, and were chocked thereunder
 
Mbona kimya sana kuhusu hawa watu, wenye taarifa zao atwambie maana tunawakumbuka sana.

1. Snoop lee
2. Mabaga fresh
3. Rich one
4. sister P
5. Zay B
6. Suma G
7. Rado
8. Balozi
9. Pauline Zongo
namba 6 huyo katoa ngoma yake kali tu kamshirikisha pro jay..tena kali tu kama hujaisikia bas we ndo walewale blauz efu hemi. namba nane anakula zake bata tu kwa obama hataki stress za kishe,.nzi za kina ru gay..
 
Wameajiriwa BOT, nenda utawaona.

Wamekuwa washaur wa gavana
 
Mabaga fresh wapo mbona wewe fuatilia show za Nature utawaona au nenda Mbagala pale Halisi record utawakuta,Suma G ana ngoma mbona inaeleweka na soon utasikia ngoma yake mpya kafanya na Soggy mkono wa majani.
 
namba 8 huyo yuko level ingine kbsa
 
Nitarudi nipate habari za hawa wakali wa kipindi hicho
 
Namba moja anavua pweza na uduvi pale Tanga Kunani..its so sad ukimuona
 
namba 6 huyo katoa ngoma yake kali tu kamshirikisha pro jay..tena kali tu kama hujaisikia bas we ndo walewale blauz efu hemi. namba nane anakula zake bata tu kwa obama hataki stress za kishe,.nzi za kina ru gay..
ok mdau tayari nishapata ngoma mpya ya Suma G halafu niombe radhi mm si blauz fm
 
namba 4 na sijui kama Kaolewa Huyoooo.....na namba 5 hapooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…