johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Meya mstaafu wa Ilala!Nimemkumbuka Jerry slaa
Mtakutana naye Ukonga mwezi October!Nimemkumbuka Jerry slaa
Aliitwa na Jaji Werema siyo mimi bwashee!Kweli ccm kuna unafiki wa ngazi ya Phd,Pamoja na Kafulila kuunga mkono juhudi bado unamwita Tumbili? Au ndio ule mliochukizwa na wahamiaji kuula ndani ya ccm wafia chama kusota? Kafulila ni RAS mkoa wa Songwe anapiga Pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili ni mwiko kuzungumza wakati wa kula.Kafulila,Mtatiro,Machali,Katambi washapewa ulaji,wakati wa kula hupaswi kubwabwaja!
Hahahaaaaa........!kafulila yuko songwe amenenepa shavu dodo mpaka kile kichogo sasa ivi hakionekani
bora yeye kaona mbali kaamua kurudi shule, CCM ishapata wenyewe !!
Shule ni muhimu bwashee!bora yeye kaona mbali kaamua kurudi shule, CCM ishapata wenyewe !!
Hadi akamtoa baba yake kafara lakini kasahaulikaNimemkumbuka Jerry slaa