Wamesha chagua tra???..

chriss brown

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
292
Reaction score
63
Jaman tra bado tu?,hawaja shortlist?kwa zile post za 2012.Ambazo deadline yake ilikuwa 16.jan.2012?
 
Tayari mkuu

inawezekana ikawa tayari ila usikate tamaa mdau, kwa taarifa za uhakika ni kwamba TRA kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi kwa sasa hii ya kutangaza nafasi chache2 ni kutokana na fungu la kuajiri kutolewa kwa awamu kutokana na ukata unayoikumba serikali yetu kwa wakati huu,watatangaza nafasi nyingine soon vuta subira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…