Tetesi: Wamesitisha Kuhamisha Ngoronogoro na Loliondo

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Kwa habari za chini ya kapeti kabisa ni kwamba waliandaa budget ya Miliini 700 Kuhamisha watu Ngongoro na Loliondo. Pesa nyingi imeshatumika tayari na zoezi limesitishwa na human rights.

Kama ni kweli haya maamuzi yameleta hasara kubwa sana.

Huyo muwekezaji wa kiarabu atakubari kweli? Au nae adai chake?
 
Ni kweli tuliandaa hicho kiasi cha pesa...lakini tumeamua tugawane tufanye mambo yetu tutajaribu ku compersate bajeti ijayo....in mwigulu nchemba 's voice....
 
Kuna mahali nilisoma luwa familia zilizopo huko Ngorongoro na Loliondo zinazotarajiwa kuhama ni 22,000 lakini waliokwisha hama ni familia 747.
Kama habari hizo ni kweli, basi ni wazi zoezi litazamwe upya
 
Matokeo ya royal tour tayari, matokeo ya Loliondo-Handeni tayari, bado matokeo ya kugawa mitungi, bado nini tena .........
 
Mungu anasikia maombi yetu.

Mioyo ya viongozi iliyo migumu kama jiwe ibadilishwe iwe ya nyama.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri Tanzania.
Ameeen.
 
Kuna mahali nilisoma luwa familia zilizopo huko Ngorongoro na Loliondo zinazotarajiwa kuhama ni 22,000 lakini waliokwisha hama ni familia 747.
Kama habari hizo ni kweli, basi ni wazi zoezi litazamwe upya

Ni watu 150 000 (laki moja na elfu hamsini) waliokuwa wahamishwe kwa nguvu kupisha Mwarabu awinde!
 
Kwa habari za chini ya kapeti kabisa ni kwamba waliandaa budget ya Miliini 700 Kuhamisha watu Ngongoro na Loliondo. Pesa nyingi imeshatumika tayari na zoezi limesitishwa na human rights...
Tangu lini mwarabu akamvimbia beberu!!!! Lisu Baki huko huko huko pigia nje ya 18.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…