Sasa hivi kuna uchangiaji katika elimu hasa elimu ya juu. Na kuna baadhi walinyimwa kabisa mikopo kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na kwamba ni watoto wa maskini na wana sifa stahiki za kupata mkopo kwa 100%. Lakini baada ya jitihada binafsi za kujisomesha, baadae unakuja kuambiwa uwe na fadhila maana umesoma kwa kodi zetu (Wa-Tanzania)!
Lakini na hata huyu ambae amesoma kwa mkopo, amesoma kwa kodi za Watanzania au amejisomesha? Maana huu mkopo lazima aurudishe. Hii imekaaje? Kuna uhusiano wa hili 'kujisomesha' na uzalendo?
Lakini na hata huyu ambae amesoma kwa mkopo, amesoma kwa kodi za Watanzania au amejisomesha? Maana huu mkopo lazima aurudishe. Hii imekaaje? Kuna uhusiano wa hili 'kujisomesha' na uzalendo?