Uchaguzi 2020 Wametofokea kabla na kipindi cha kampeni, tuwafokee kwenye SANDUKU la kura 28/10/2020

Uchaguzi 2020 Wametofokea kabla na kipindi cha kampeni, tuwafokee kwenye SANDUKU la kura 28/10/2020

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Ndugu wananchi, tumefokewa na kuonekana hatuna thamani kwa watawala. Maeneo ambayo ayajawahi kupata maji miaka hamsini tunafokewa kwamba tusipowachagua CCM hatupati maji, miaka yote wamewahi kuyaleta?

Tumefokewa kwa kuonekana Kama wajinga na tusiojua haki yakuchagua kiongozi Bora tukiaminishwa kiongozi Bora anatoka CCM, tusikubali kufundishwa kufikiri.

Wameona haitoshi wametuwekea tume na polisi watuelekeze kwa nguvu Nani tumchague, kwenye SANDUKU la kura polisi na tume hawatatushikia kalamu, tufanye maamuzi sahihi kwenye kale kachumba.

Walituvunjia, wametunyima mafao, wamewaelekeza wabunge tuliokuwa nao wasiguswe hata wasipofanya Jambo kwetu. Tusiwafanyie makosa, dawa ya kaidi ni kuwa mkorofi zaidi yake.

Tuwanyatie, tuwakate warejee uswahilini wajifunze kuishi na watu. Tuwafundishe cheo Ni dhamana

TUKAWAFOKEE KWENYE SANDUKU LA KURA
 
Sisi Watanzania wazalendo tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule ambaye haishi Tanzania atachaguliwa na robert
 
Hatutamchua muhutu aliyetuumiza wakati uliopita, tutamuonyesha thamani na utu wetu
Sisi Watanzania wazalendo tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule ambaye haishi Tanzania atachaguliwa na robert
 
Kura chini ya 10% ni aina ya kufokea pia.

Hii ni Moja ya Matumizi ya mabaya ya neno la vijana wa kisasa "USINIFOKEE".
 
Nakuambia tena usinifokee pumbavu husikii. ??????
Kura chini ya 10% ni aina ya kufokea pia.

Hii ni Moja ya Matumizi ya mabaya ya neno la vijana wa kisasa "USINIFOKEE".
 
Ni kweli ametokea mtu mmoja amejipa haki ya kuwa yeye anatumiliki kama watumwa kwenye nchi iliyo huru.Anatutisha na kutufokea.
Tuwanyime kura kwa wingi hawa wababe
 
Back
Top Bottom