Wameuziwa kesi kama wale mwewe

Wameuziwa kesi kama wale mwewe

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Walilala kwa amani kabisa. Kukiwa hakuna shida yoyote.. Wakajua wakiamka wataendelea na mishe zao za maisha ya kila siku mpaka pale watakapokufa.

Kwa vile wanajua wazi upendeleo uliopo kwenye mashauri mbali mbali wamekuwa makini sana kutojihusisha na jinai yoyote ile.

Lakini bila kutegemea wameamka wakiwa wameangushiwa jumba bovu sasa wanatafutwa wakajibu mashtaka yanayowakabili.. Kwa kihoro cha kupelekwa mbele ya pilato asiye na ukweli wote wamekimbia wamejificha kusikojulikana wakiziacha familia zao zinateseka na kiu mawazo na njaa.

20240731_123456.jpg
20240731_123452.jpg
 
mnamua kutuletea mambo magumu ili iweje? s ungebaki nayo rohoni tu haya tuelezee ni kina nani hao
SGR jana usiku ilikwama porini Kidete for more than 4 hours. Abiria wakatoka kufanya utalii wa usiku. TRC wakatoa tamko asubuhi kuwa hitilafu ilisababishwa na bundi na ngedere kutua kwenye nyaya za umeme za kuendeshea train (overhead catenary)

Mshana Jr nimefungua code yako mapema sana samahani sikujua kama kuna raia wako nyuma kiasi hiki.

Mmoja wao GENTAMYCINE
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.
 
muache kufatilia wakina wema na mange kimambi mkuu, majibu mbona yapo open angalia tukio linalotr3nd now oainisha na hizo picha hapo
Ila hii nchi ina watu wanapenda kufuatilia mambo ya ajabu sana. Ndio maana zikija code humu za britanicca, tumainiell, tumia akili na yoga ni wachache tunaoelewa.

ephen_
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.
20240731_123941.jpg

Wanasingiziwa sana
 
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.
Aisee, hii umeipanga ikapangika, big up guru.
 
Back
Top Bottom