Najiuliza sana hivi hiki ndo alichofukuziwa Tido Mhando?jamani sijuhi niongeeje,hivi hii TBC jamani mbona inatuumiza hvi sie watanzania wanyonge,kwanini???kwanini tunapata shida ya kuuona mpira wetu hata unaochezwa hapa kwetu,hii TBC ina maana kazi yao ni kuonyesha upuuzi wa CCM tu hapa Tanzania? Niko naangalia Mozambique TV wanaonesha ligi ya kwao daily,sie hapa TBC wanashinda wanaonesha tamthilia, ni nani aliwaambia sisi tunahtaji hzo filamu za kifara? Hata wakati Taifa stars ikiwa Msumbiji juzi, hatukuonyeshwa mechi hyo,sasa mie najiuliza shirika limebnafsishwa ama imekuwa kampuni ya ccm,taharifa za habari mnatuchagulia,timu zetu kwenye mechi za kimataifa hamtuonyeshi,WHO YOU THINK ARE YOU TBC IN THIS COUNTRY???FOR WHOM ARE YOU? COCROACHES,OAKS.BABOONS,REBELS,STUPID,FOOLS,CURSED
Natamani kwenda pale bamaga nikairipue hii Tanzania Broadcasting for CCM,INAUMA SANA NDUGU ZANGU,I WISH NISINGEZALIWA TANZANIA,