Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 609
hvi nyie akili zenu fupi mnalazimishwa kusoma hapo!!! Thats Private insititute kama unaona hawatoi kinachotakiwa basi kamlilie kikwete aongeze vyuo vkuu au kafauli usome DIT,MIST,ATC, au COeT.
unayajua masomo magumu wewe?
Pale gpa za kupeana, mfano kuna mwaka wa 4 wameenda India, nasikia wote wamepewa gpa ya 5 eti kwa kua walikubali kwenda India na hivyo kulipia gharama za kuishi kule na kuiongezea chuo kipato
pia ni rahisi kumkuta mhitimu wa chuo hiki ana gpa ya 5 au first class kali sana lakini kichwani mweupe na hakuna anachojua
Acheni kushabikia tuu wanafunzi wa chuo hiko wanakaa mbali na jiji na wanapenda sana kujirusha na masomo yanayotolewa pale mengi ya science na ni magumu sana sasa wakicheza kifuatacho sup so inakula kwao kwani elimu ya chuo sio mchezo vijana someni vyuoni huko acheni ushalobaro na ushalohero
Mbona wamiliki wake sio RCR.c kabisa ? Ilo nalo ni janga la kitaifa
Mbona hawaandamani?
wametegesha watu wao kuanzia bodi, TCU hadi wizarani. Ukipanua mdomo tu unakatwa kotekote. Jamaa wajanja washausoma mfumo wa bongo mwendo wa 10% sasa wanakula kuku kwa mrija. Wengi wanabisha. Wabongo hua wagumu kuamini, tusubiri tuone.
wana jf,
kuna chuo kinaendeshwa na wahindi cha St Joseph kwa kweli kinajiendesha kwa mbinu chafu.
Wamekua wakitegemea njia za Panya kupata fedha ikiwemo kutoa sup kiholela ili wanafunzi wakifanya waweze kunufaikwa kwa pesa za sup(sup zinalipiwa), michango bubu kama vile kulipia tution kwa waliofeli supplimentary exams na kuzuia kimakusudi pesa za bumu wanazopewa na bodi ktk fixed account ili wapate cha juu na kusababisha wanafunzi wengi kuishi maisha ya shida bila hela. Mbaya zaidi wana watu wao bodi na TCU yani hata malalamiko yakienda hakuna kitu halafu wanajiita masista wa katoliki!
Kwa dhuluma hizo hizo wamezuia malipo ya mafunzo kwa vitendo kwa mwaka wa mwisho mpaka watakapokubali kukatwa madeni ya ada wanayodaiwa.
swali la kujiuliza, wanapata wapi hiyo jeuri? Wanapoamua kutumia ubabe kuchukua pesa za mafunzo kwa vitendo za wanafunzi wenye madeni ya ada, je haki iko wapi?
Mbona wamiliki wake sio RC
Watoto wa kileo bwana...na UDSM nao inakuwaje wanapopewa supu? Tuache masihala na elimu...ndio haya ya kusoma bila kuelimika
inawezekana yana ukweli coz jamaa hawana wapati wanafunzi wa kutosha, thats why ni moja kati ya private unvesity chahce zianzo jiatangaza ili kupata wanafunzi, vingine watu wanakuja wenyewe.
My take: Vipo vyuo vingi vya serkali, vizuri na vyenye ubora kuliko st josep, so co lazima mtu kusoma kwao.
Nb: Kama mtoa mada ni mwanafunzi wa st joseph akaze msuli, kinasifika kwa gpg kubwa japokuwa ni za kupeana
Mh!mtoa mada kama ni interview tu kwangu ameshindwa hayupo compitent....wamiliki wanatoa sup kwani hao ndo ma lecturer,vilevile hakuna wa Tz toka CoET,DIT wanaofundisha part time,kingine kimenifanya nijiulize mara useme watu wanapewa GPA kubwa wakati mada yako sup ni nyingi ili waingize fedha sasa kama wanatoa GPA kubwa wanajingiziaje fedha na hizo sup,sup si zitakua chache na kipato kitakua kidogo,mwisho umetueleza wanatoa GPA sasa iweje wewe tu unyimwe kama huwa wanazitoa tu....INAMANA WEWE UNAONEWA.
Nimewasilisha tu.