Wamiliki wa daladala Mwanza, dereva muaminifu niko hapa

Wamiliki wa daladala Mwanza, dereva muaminifu niko hapa

Mugabe Jr

Senior Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
160
Reaction score
287
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.
 
Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?

Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.

Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
 
Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?.

Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.

Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Mkuu habari za muda huu natumaini uko salama, nitakuwa nawasilisha 70000 kwa siku (uhakika) without any excuse.

Nakuahidi sitoleta usumbufu wa aina yoyote ndugu yangu, naheshimu sana mali za watu, naheshimu sana kazi maana ndiyo kipimo cha utu. Licha ya mapungufu yangu ya kibinadamu, uwa najitahidi sana kuishi vizuri na watu.

Kuhusu suala la konda, ninaye kijana muaminifu nayafahamu makazi yao, wazazi na hata ndugu. Ndiyo kijana ambaye uwa nafanya nae kazi ninapopata day_worker.

Niamini ndugu yangu tufanye kazi, sitokuangusha kiongozi. MUNGU aendelee kukulinda na kukubariki.
 
Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?

Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.

Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Naomba kazi ndugu yangu.
 
Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?

Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.

Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Nimeku dm kiongozi

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?

Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.

Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Hapa ndipo tatizo lilipo....nimepaki nyumbani bora gari ifanye kazi ya kupeleka watoto shule ili nipumzike na stress za hawa jamaa
 
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja.

Hivyo naomba kama kuna mtu ana hiace (daladala) tufanye kazi ndugu zangu.

Au kwa yoyote mwenye connection ya kunisaidia kupata gari (daladala) mkoani mwanza anishike mkono waungwana. Nisaidieni ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom