Mkuu habari za muda huu natumaini uko salama, nitakuwa nawasilisha 70000 kwa siku (uhakika) without any excuse.Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?.
Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.
Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Naomba kazi ndugu yangu.Nisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?
Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.
Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Nimeku dm kiongoziNisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?
Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.
Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Hapa ndipo tatizo lilipo....nimepaki nyumbani bora gari ifanye kazi ya kupeleka watoto shule ili nipumzike na stress za hawa jamaaNisan civilian Kisesa to Nyashishi utakuwa unanipa hesabu sh ngapi kwa siku?
Je nkikupa Gari hutoleta usumbufu wa kutokuleta hesabu kwa zile sababu zenu Kama; leo nimepigwa bao na traffic,Gari ilipata pancha,konda kakimbia na hesabu n.k?.
Maana kwenye kuomba kazi mnanyenyekea, Ila mkishapata mnaanza usumbufu na jeuri.
Ndugu yangu niamini tufanye kazi. Niamini nitailinda imani ndugu yangu.Hapa ndipo tatizo lilipo....nimepaki nyumbani bora gari ifanye kazi ya kupeleka watoto shule ili nipumzike na stress za hawa jamaa
Huyo mshikaji wa Kisesa to Nyashishi ulimcheki, hajakupa feedback yoyote?
Nilimcheki ndugu yangu nimemfata mpaka inbox ila no feedback aseeehHuyo mshikaji wa Kisesa to Nyashishi ulimcheki, hajakupa feedback yoyote?
Ama alikua anakutamanisha tu