Bro ninakukubaligi sana.Bila shaka mko poa,
Kufuatia mapokezi ya mgeni mjini usajili wa namba "E" kuna wamiliki wa namba za nyuma hususani "D" ambao kwa namna moja au nyengine mngependa kuuza gari zenu kwa ajili ya kuhamia namba "E" au kwa sababu tofauti.
Nitawatafutia wateja wa gari husika kutokana na network ya watu muhimu na pool ya wateja ambao niko nao. Cha kufanya utanitumia gari yako na wasifu wake privately kupitia namba ambayo ntaiweka hapo mwishoni. Nitaitaftia mhitaji na kufanikisha kui liquidate haraka. Angalizo bei iwe reasonable isio ya tamaa sana.
Contacts:
0746968020
Ni kweliHio namba haipo whatsapp mkuu, nakutumiaje?
N'chedi, jahako?Nrevedi, namnani?
Chedi! Hiaho.. nkubigie thimu thanyingahi avae?Nrevedi, namnani?
Bila shaka mko poa,
Kufuatia mapokezi ya mgeni mjini usajili wa namba "E" kuna wamiliki wa namba za nyuma hususani "D" ambao kwa namna moja au nyengine mngependa kuuza gari zenu kwa ajili ya kuhamia namba "E" au kwa sababu tofauti.
Nitawatafutia wateja wa gari husika kutokana na network ya watu muhimu na pool ya wateja ambao niko nao. Cha kufanya utanitumia gari yako na wasifu wake privately kupitia namba ambayo ntaiweka hapo mwishoni. Nitaitaftia mhitaji na kufanikisha kui liquidate haraka. Angalizo bei iwe reasonable isio ya tamaa sana.
Contacts:
0746968020
Tulia we boya, nafikiri dhima za lugha hukujifunza vizuri! Rejea kwenye mantiki ya lughaNamba D? Namba E? Hivi kweli nchi hii ina vilaza wa kutupwa? Toka lini hizo herufi E na D zikawa namba? Ulisoma shule ya St Kayumba ya tarafa na kata gani? Ufaulu wako wa masomo ulikuwaje?
AnafeliTulia we boya, nafikiri dhima za lugha hukujifunza vizuri! Rejea kwenye mantiki ya lugha
Nilijua tu leo lazima kiwakeImefika wakuuView attachment 2331383
Haya matajiri wakawake sasaNilijua tu leo lazima kiwake