Wamiliki wa Magari Adimu (brand tofauti na TOYOTA, Magari yenye changamoto ya upatikanaji wa Spare Parts) Tukutane Hapa

Inategemea RAV 4 ya mwaka gani kama hizi za 2006 kwenda mbele spare bei ni zile zile tu mkuu...
Yes mkuu hata mm nilikuwa na Carina ti yaani spare zake huumizi kichwa.
Sasa hivi nikipata pesa nataka ninunue rav 4 nione Kama itakuwa vzr kwenye gharama za spares.
 
Huyu jamaa nimemkubali sana, nilikuwa natafuta spare ya nissan bluebird hapa dar naambiwa 360,000 ila nilipomcheki yeye kaniagizia nje nadhani nairobi kwa 140,000 ndani ya siku mbili mzigo nikaupata na sasa nadunda mtaani.
Embu ona sasa,tofauti ya laki nzima!
 
Kwa hiyo bei huwezi kuagiza Alphad wala Elgrand.....bajet yako ipo chini...

Lqbda upate mtu mwenye shida akuuzie....
Daah. Maana natafuta gari ya juu Kwa bajeti ya 11m (gharama zote)
 
NATAFUTA MLANGO STARLET WA ABIRIA KUSHOTO NYUMA
Kama kichwa cha habari kilivyo ,natafuta mlango wa kushoto wa nyuma haraka sana,
Tafadhali kwa yeyote aliyenao tuwasiliane kwa PM au hata hapa hapa.
 
Pole mkuu sasa umeiuza nini au umepata suluhisho la spea zake.
 
Namiliki Nissan FUGA timing belt tu ilikatika ikanitoka 110,000
Hiyo ni bei ya kawaida mkuu. Hasa ukinunua OEM parts. Mie nimenunua ya Toyota Tsh 120,000. Sema za Toyota mara nyingi kuna kuwa na copies nyingi mtaani ndio maana zinaonekana cheap.

Ila kama unanunua original parts za Toyota, hazipishani saana bei na zile za European cars. Tofauti ni kwamba, most Japanese cars are very realiable. Hata zikiwa na zimetembea saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…