jerryperry2020
Member
- Jul 28, 2020
- 41
- 51
Nawasalimu wadau bila kupoteza muda miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wamiliki wa magari kutembeza magari yao wakiwa wametoa plate number ya mbele na kuziweka ndani,hii hali nimeiona zaidi nikiwa mkoa wa dodoma sasa sijui ndo mageuzi au basi tu ni kupungua kwa usimamizi maana sasa inaanza kuwa ni fasheni watu wanaigana kila siku hasa hawa wa subaru na alteza ndo wanazidi kuongezeka au ndo mpaka tamko litoke kweli tutafika tumechoka
Kwani wee ina kuhusu nini au wapi umeumizwa na watu kutoa Plat namba wakati wa kutengeza magari?Nawasalimu wadau
Bila kupoteza muda, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wamiliki wa magari kutembeza magari yao wakiwa wametoa plate number ya mbele na kuziweka ndani, hii hali nimeiona zaidi nikiwa mkoa wa dodoma.
Sasa sijui ndo mageuzi au basi tu ni kupungua kwa usimamizi maana sasa inaanza kuwa ni fasheni. Watu wanaigana kila siku hasa hawa wa subaru na alteza ndo wanazidi kuongezeka.
Au ndo mpaka tamko litoke?
Kweli tutafika tumechoka.
Hili ni jukwaa huru siyo lazima wote tuongelee mambo yanayotuhusu kama weweKwani wee ina kuhusu nini au wapi umeumizwa na watu kutoa Plat namba wakati wa kutengeza magari?
Mtaani kwenu hii ndio kero wakati hapo dodoma ni kambi ya ccm miaka mingi kunamatatizo lukuki.
Basi nyamaza nitawachapa.Hili ni jukwaa huru siyo lazima wote tuongelee mambo yanayotuhusu kama wewe
unayo mangapi mkuuMtu ambae hamiliki ndinga utamjua tu...🤣
Muandishi huru, nchi huru
Unaweza kuta ni code ya wauza ngada au mashogaNawasalimu wadau
Bila kupoteza muda, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wamiliki wa magari kutembeza magari yao wakiwa wametoa plate number ya mbele na kuziweka ndani, hii hali nimeiona zaidi nikiwa mkoa wa dodoma.
Sasa sijui ndo mageuzi au basi tu ni kupungua kwa usimamizi maana sasa inaanza kuwa ni fasheni. Watu wanaigana kila siku hasa hawa wa subaru na alteza ndo wanazidi kuongezeka.
Au ndo mpaka tamko litoke?
Kweli tutafika tumechoka.
misina mkuuunayo mangapi mkuu
Hakika wewe lazima ni great thinker yawezekana ni codeUnaweza kuta ni code ya wauza ngada au mashoga
kwenye komenti Yako umemaanisha ninimisina mkuu
Hiyo ni code ya watu fulani wenye lengo moja.Hakika wewe lazima ni great thinker yawezekana ni code