Wamiliki wa NBC, yaani ABSA ndio walioinunua Barclay Africa

Wamiliki wa NBC, yaani ABSA ndio walioinunua Barclay Africa

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Kuna watu wanachanganya mambo mara Barclay kainunua NBC, BarclayAfrica hajawahi kuinunua NBC bali NBC ilinunuliwa na ABSA ya South Africa.

Hawa ABSA ndio sasa wameinunua Barclay Africa.

Pia kuweka record sawa Barclay Africa ndio imeuzwa na sio Barclay International ile ya Uingereza.

Barclay waliamua kujiondoa kwenye soko la Africa kwa kuuza Barclay Africa kwa ABSA.

Ukienda nchi kama Misri au Moroco au Libya au Algeria usishangae kuwakuta Barclay.

North Africa wao wako Barclay Middle east and North Africa.

Pia kuna Barclay Asia na Barclay South America

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii bank nasikia ni ya msomali ni hii au Ni stanibic?
 
Nini kinaendelea katika Benk ya NBC? Nina Mifano ya sehemu mbalimbali hapa Dsm walikoondoa ATM. Hebu tupeane taarifa.

Ahsante
 
Back
Top Bottom