Wamiliki wa nyumba utata mtupu!

Swae24

Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
45
Reaction score
1
Wadau hivi inakuwaje kama umekubaliana na mwenye nyumba kwamba nyumba haijakamilika ila ataikamilisha,ukalipia kodi ya mwaka mzima kwa hela ya nyumba iliyo kamili na asiikamilishe then,mwisho wa mwaka anataka kuleta mpangaji mwingine,Je kuna haki ya kudai fidia kwani nyumba haikukamilika kulingana na makubaliano au la?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…