Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,761
Nawasaliimu wote
natumaini all of you are doing fine kabisaa
Nina kitu nawaomba mnisaidie mwenzenu!!
Nina pikipiki ambayo haina kazi nataka niifanye ya biashara iniingizie kitu kidogo kwa familia nimempata na mwendeshaji kabisa sasa basi nashindwa handler procedure
Ni mimi wenu mtiifu Nivea
natumaini all of you are doing fine kabisaa
Nina kitu nawaomba mnisaidie mwenzenu!!
Nina pikipiki ambayo haina kazi nataka niifanye ya biashara iniingizie kitu kidogo kwa familia nimempata na mwendeshaji kabisa sasa basi nashindwa handler procedure
- Namkabidhije huyu bwana hii pikipiki?
- Niutaratibu gani niufanye maana kuilaza hapo kwangu ni mbali sana na barabarani nimkabidhije ili iwe anaamkia nayo kazini naandikishanaje nae ,wadhamini,kujua nyumbani kwao nini hasa nifanye nisijeibiwa mali yangu!!
- Jinsi yaukusanyaji wa hela yangu daily au weekly basis na range yake ni kiasi gani per day ushauri wako ni muhimu sana kwangu mwana jf na ninaamini kuna wengi wanaoifanya hii biashara hapa dsm nishauri jamani
Ni mimi wenu mtiifu Nivea