nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Moja kwa moja kwenye mada.
Nimetafakari sana leo, hasa nilipopitia magazeti ya leo tarehe 16. Sijaona gazeti hata moja lililoripoti tukio la kukataliwa na kuzomewa mteule wa CCM kule Kagera.
Hakuna chombo chochote cha kielectronic kilichoripoti tukio lile. Nikashangaa, wanahabari wamekuwa watumwa hivi.
Je, angezomewa Lipumba, Maalim Seif au Membe visingeripoti?
Duuu! Ama Freemason yupo kazini? Kimyaaa! Kama nchi haina vyombo vya habari na wanahabari!
Ivi hamna namna ya kujitetea hata mkapata uhuru wenu?
Karibuni
Nimetafakari sana leo, hasa nilipopitia magazeti ya leo tarehe 16. Sijaona gazeti hata moja lililoripoti tukio la kukataliwa na kuzomewa mteule wa CCM kule Kagera.
Hakuna chombo chochote cha kielectronic kilichoripoti tukio lile. Nikashangaa, wanahabari wamekuwa watumwa hivi.
Je, angezomewa Lipumba, Maalim Seif au Membe visingeripoti?
Duuu! Ama Freemason yupo kazini? Kimyaaa! Kama nchi haina vyombo vya habari na wanahabari!
Ivi hamna namna ya kujitetea hata mkapata uhuru wenu?
Karibuni