POSHO MAVYEO
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 371
- 112
leo katika pita pita yangu sehemu nimekutana na dada mmoja hakiwa na hali ya uzuni sana,
nilipoongea naye kwa kina nikagundua BUNGE letu la jamuuri limekula kwake.
yeye ana matatizo ya kizazi kila mimba hutoka na hospitalini hawajui tatizo ni nini?
ameshapoteza watoto wengi na sasa ni hatari kwa maisha yake, aliongea na dactari amtoe kizazi
lakini doctor akasema hawezi kumfunga kizazi mpaka mumewe naye sign kukubali.
hapo ndipo nilipochoka ina maana kuna watu wanalazimishwa kubeba mimba, tena kuna sheria hakuna kufunga kizazi mpaka ujadiliane na mtu mwingine hata kama maisha yako yako hatarini?
hizo haki za binadamu na ndoa zina kwenda wapi?
huyo dada mumewe hayuko tayari kuvunga kizazi
nilipoongea naye kwa kina nikagundua BUNGE letu la jamuuri limekula kwake.
yeye ana matatizo ya kizazi kila mimba hutoka na hospitalini hawajui tatizo ni nini?
ameshapoteza watoto wengi na sasa ni hatari kwa maisha yake, aliongea na dactari amtoe kizazi
lakini doctor akasema hawezi kumfunga kizazi mpaka mumewe naye sign kukubali.
hapo ndipo nilipochoka ina maana kuna watu wanalazimishwa kubeba mimba, tena kuna sheria hakuna kufunga kizazi mpaka ujadiliane na mtu mwingine hata kama maisha yako yako hatarini?
hizo haki za binadamu na ndoa zina kwenda wapi?
huyo dada mumewe hayuko tayari kuvunga kizazi