Jibu hoja wametoa mpaka kifungu cha katiba yao. Sasa wewe unakuja na mapovu matupu?!Wapumbavu kweli
Wakati watu wanaunda chama wao walikuwa wapi?...
Hao ni wanachama wa ACT Wazalendo siyo wanachama wa CCM mkuu!CCM kweli hali ni tete...hadi wamefikia hatua hii ha ha ha
Haya mwambieni msajili wenu awafute uanachama tuone!!
Watanzania si wajinga....anayeweweseka hapa ni CCM....Hao ni wanachama wa ACT Wazalendo siyo wanachama wa CCM mkuu!
Wapumbavu kweli
Wakati watu wanaunda chama wao walikuwa wapi?
Wapuuzi wakubwa Sana watu wamekipigania chama from the scratch leo mnaleta upuuzi wenu baada ya kununuliwa na CCM.
Wapumbavu kweli
Wakati watu wanaunda chama wao walikuwa wapi?
Wapuuzi wakubwa Sana watu wamekipigania chama from the scratch leo mnaleta upuuzi wenu baada ya kununuliwa na CCM.
Pngine ndio umefika dakika 88:57Dk ya 86 benchi kuna mtu kasimamishwa kwa ajili ya kuokoa jahazi....mpaka sasa bila bila
Ni wana CCM hao.Wapumbavu kweli
Wakati watu wanaunda chama wao walikuwa wapi?
Wapuuzi wakubwa Sana watu wamekipigania chama from the scratch leo mnaleta upuuzi wenu baada ya kununuliwa na CCM.
CCM imegeuka kuwa genge la familia wajomba mashangazi na wapwa wenye roho mbaya na ukabila..hizo ni HILA tu.
..lakini baadhi wanaona ni ujanja na werevu.
Tokea kuanzishwa kwa hicho chama ni kwamba kimeanzishwa na Serikali ya CCM kwa maana ACT hakijawahi kuwa chama cha upinzani.Kamati ndiyo iliamua kuiunga mkono Chadema na siyo mwanachama mmoja mmoja.
Hao waliomwandikia msajili siyo wanachama wa ACT ,Bali ni MaCCM yenyewe.
Hao wanaojiita ndiyo wameandika hiyo barua ,wametumika tu kwa kivuli Cha CCM.
Tafute mbinu nyingine,hiyo ni yakizamani sana.
Membe sio mpinzani bali ni mzee muhuni toka CCM, kaenda ACT hana hata mwezi kapewa nafasi ya kugombea Urais. Kama ni demokrasia yeye hakustahili kuipata nafasi.Dogo unataka demokrasia halafu unaunga mkono uhuni wa akina Zitto na Seif?