Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nimekuwa nafuatilia mikutano ya vyama mbali mbali vya kisiasa.
Kuna siku nikakuta wana CCM wanafanya vikao vyao kwa njia ya aibu sana.
Ktk hali ya ulevi na mambo ya hovyo kama mnavyotazama kwenye hiyo clip.
Hivi wanatoa mafundisho gani kwenye kizazi kinachoyaona hayo mambo ya hovyo?
Kuna siku nikakuta wana CCM wanafanya vikao vyao kwa njia ya aibu sana.
Ktk hali ya ulevi na mambo ya hovyo kama mnavyotazama kwenye hiyo clip.
Hivi wanatoa mafundisho gani kwenye kizazi kinachoyaona hayo mambo ya hovyo?