Normal with Abnormality anasema wamejifunzia Twitter.Nimekuwa nafuatilia mikutano ya vyama mbali mbali vya kisiasa.
Kuna siku nikakuta wana CCM wanafanya vikao vyao kwa njia ya aibu sana.
Ktk hali ya ulevi na mambo ya hovyo kama mnavyotazama kwenye hiyo clip.
Hivi wanatoa mafundisho gani kwenye kizazi kinachoyaona hayo mambo ya hovyo?
View attachment 3017792
π€£π€£ππππ€£π€£ππππ€£π€£πYule Ni MwehuNa bubujika machoz ya furaha na kutetemeka Lucas Mwashambwa