Hivi wanajamii hivi huu ushindi wa kishindo ndiyo upi huo? Je ni wa kishindo kwa sababu alishinda kwa kura 61% au kwa mazingitra ya utata wa matokeo yaliyokuwa yanatangazwa na NEC?
Nipi hapa Newala na kuna shmrashamra ya kumpongeza Rais Kikwete kwa ushindi huo wa Kishindo.