Wana CCM tumuunge mkono Mbowe, kaonesha uzalendo

Wana CCM tumuunge mkono Mbowe, kaonesha uzalendo

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Baada ya kutazama hotuba ya kiongozi wa upinzani Freeman Mbowe huko Marekani nimefurahi sana kwa jinsi alivyoonyesha uzalendo. Ikumbukwe Mbowe katoka familia ya mpigania uhuru wa nchi hii hayati Aikaeli Mbowe.

Ilikuwa ikishangaza sana kuona Mbowe akiwa kinyume kabisa na maono ya baba yake kuhusu Tanzania. Lakini kupitia kauli zake za hivi karibuni hakika Mbowe kakataa misimamo isiyofaa ya wanaCHADEMA wengi.

Natumaini chama changu CCM kitaendelea kumpa ushirikiano mheshimiwa Mbowe kwenye hii nia njema aliyoonyesha ya kuleta maridhiano na mshikamano kitaifa. Binafsi ninasapoti mema yote yaliyotamkwa na Mbowe.

Tanzania kwanza chama baadae. Ikiipendeza mamlaka ya uteuzi imteue Mbowe hata kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya PAROLE ili kujenga nchi kwa pamoja.
 
Dah!Hiyo ni hela ya kununulia kabeji.Waongezwe kidogo.😂😂😂😂
Hiyo posho haipandi wala haishuki.
1671497719794.png


Hii ndiyo nyumba waliyo pangishiwa johnthebaptist , jingalao, Idugunde , Bia yetu, Samiaagain2025 na Meneja Wa Makampuni wana CCM lialia. Wenzao wametulizwa Oysterbay na Masaki, wao wamefichwa huko Kwa Mpalamasyu
 
Baada ya kutazama hotuba ya kiongozi wa upinzani Freeman Mbowe huko Marekani nimefurahi sana kwa jinsi alivyoonyesha uzalendo. Ikumbukwe Mbowe katoka familia ya mpigania uhuru wa nchi hii hayati Aikaeli Mbowe...
Ukiona au kusikia hivi, jua ashanunuliwa mtu hapa
 
Back
Top Bottom