Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Wana CCM wameendelea kuiombea kura CHADEMA baada ya wagombea wao wa Ubunge, Udiwani na hata Urais kushindwa kueleza wazi hatima ya maisha yao baada ya UCHAGUZI.
Ugumu wa maisha uliopelekea kushindwa kusoma na baadhi yao kupata msukosuko kwa miaka mitano kwenye biashara, shambani na kazini kumeziumiza familia zao. Baada yakutafakari wengi wanaona ni vyema wasiende kupiga kura au wakienda Basi wapige kura kwa zimwi wasillolijua.
Hakuna ugumu wa maisha wa chama ila ugumu wa maisha niwawawananchi.
Usiposomesha leo kesho aliyetakiwa kusomeshwa hatakua na sifa, usipotibu leo kesho utobu, usipoishi kwa furaha Leo usitegemee kesho.
Ni wachache watakaokubali kuumia, ila pia hawajui usalama wao huko mbele
Ugumu wa maisha uliopelekea kushindwa kusoma na baadhi yao kupata msukosuko kwa miaka mitano kwenye biashara, shambani na kazini kumeziumiza familia zao. Baada yakutafakari wengi wanaona ni vyema wasiende kupiga kura au wakienda Basi wapige kura kwa zimwi wasillolijua.
Hakuna ugumu wa maisha wa chama ila ugumu wa maisha niwawawananchi.
Usiposomesha leo kesho aliyetakiwa kusomeshwa hatakua na sifa, usipotibu leo kesho utobu, usipoishi kwa furaha Leo usitegemee kesho.
Ni wachache watakaokubali kuumia, ila pia hawajui usalama wao huko mbele