Wana CCM wazalendo ungeni mkono demokrasia, katiba mpya kwa manufaa ya nchi yetu

Wana CCM wazalendo ungeni mkono demokrasia, katiba mpya kwa manufaa ya nchi yetu

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuna watu wengi ambao wapo CCM na ni wazalendo. Lazima muelewe sio matakwa yote ya CCM ni kwa faida ya nchi kuna mambo mengi sana ambayo ni kwa mafanikio ya tabaka la utawala ndani ya CCM. Tabaka hili lenye mtandao mkubwa ni wale wakubwa ambao ndiyo wanafanya maamuzi ikiwa ni pamoja na kuingiza marafiki zao na familia serikalini kwa mgongo wa CCM.

Ukiangalia faida zao binafsi ni kuwa na mawaziri watoto wao, ndugu na jamaa zao. Ukurugenzi na bodi mbalimbali. Hawajali madiliko yeyote ambayo hayawanufaishi wenyewe. Msinshangae kwenye uongozi kukuta majina ya Kikwete, Mwinyi, Samia, Pinda, Makamba, Lowassa, Nauye na wengineo ni utamaduni maalumu wa viongozi kuweka watu wao makusudi kwa faida yao na vizazi. vyao. Msishangae kuona wakwe, wake, na mashemaji mawaziri tena bila aibu.

Wana CCM wenye uzalendo nawashauri ungeni mkono mabadiliko ya katiba yenye tija. Vitu ambayo ni lazima muunge mkono ili tutoke hapa.

1. Katiba mpya hasa madiliko ya uundwaji wa serikali za mitaa, ukusanyaji wa kodi, mifumo yote , tume huru, ardhi na sheria zake, dual citizenship kwa watanzania diaspora, nguvu ya Raisi , sheria za rushwa, mahakama na kesi za kuchewa na rushwa.

2. Uwekezaji kwenye elimu na ajira ni lazima utokane na sera za uwekezaji na sio serikali pekee

Lakini kwa ujumla wake ushauri wangu acheni utamaduni wa uchawa wekeni uzalendo mbele
 
Unaacha kuwashauri vijana na makundi mengine ya kiraiya unawashauri waliotengeneza tatizo walitatue?

Wazalendo ni akina Wasira na Makamba au nani? Hebu tupe tafsiri ya uzalendo tuone hao wazalendo wakuipigania katiba mpya hapo ni akina nani.

Zaidi ya Warioba taja mwingine
 
Kuna watu wengi ambao wapo CCM na ni wazalendo. Lazima muelewe sio matakwa yote ya CCM ni kwa faida ya nchi kuna mambo mengi sana ambayo ni kwa mafanikio ya tabaka la utawala ndani ya CCM. Tabaka hili lenye mtandao mkubwa ni wale wakubwa ambao ndiyo wanafanya maamuzi ikiwa ni pamoja na kuingiza marafiki zao na familia serikalini kwa mgongo wa CCM.

Ukiangalia faida zao binafsi ni kuwa na mawaziri watoto wao, ndugu na jamaa zao. Ukurugenzi na bodi mbalimbali. Hawajali madiliko yeyote ambayo hayawanufaishi wenyewe. Msinshangae kwenye uongozi kukuta majina ya Kikwete, Mwinyi, Samia, Pinda, Makamba, Lowassa, Nauye na wengineo ni utamaduni maalumu wa viongozi kuweka watu wao makusudi kwa faida yao na vizazi. vyao. Msishangae kuona wakwe, wake, na mashemaji mawaziri tena bila aibu.

Wana CCM wenye uzalendo nawashauri ungeni mkono mabadiliko ya katiba yenye tija. Vitu ambayo ni lazima muunge mkono ili tutoke hapa.

1. Katiba mpya hasa madiliko ya uundwaji wa serikali za mitaa, ukusanyaji wa kodi, mifumo yote , tume huru, ardhi na sheria zake, dual citizenship kwa watanzania diaspora, nguvu ya Raisi , sheria za rushwa, mahakama na kesi za kuchewa na rushwa.

2. Uwekezaji kwenye elimu na ajira ni lazima utokane na sera za uwekezaji na sio serikali pekee

Lakini kwa ujumla wake ushauri wangu acheni utamaduni wa uchawa wekeni uzalendo mbele
baada ya uchaguzi mkuu 2025, jambo hilo laweza kua agenda.

kwasasa kazi kubwa iliyopo mbele ni kuwatumikia wanainchi na kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 na si vinginevyo 🐒
 
Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta katiba mpya. Kutegemea majizi na bendera fuata ww ccm kupata katiba mpya, ni kuchekesha walionuna.
 
baada ya uchaguzi mkuu 2025, jambo hilo laweza kua agenda.

kwasasa kazi kubwa iliyopo mbele ni kuwatumikia wanainchi na kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 na si vinginevyo 🐒
I lani ni nini hasa watunga ilani ni hao hao maboss wa wachache ambao wamejipa ufalme na ndugu zao.

Wakina Makamba, Nauye, Kinana, wakwe wa Mama, watoto wa wakina Pinda, Lowassa , Mwinyi na kikwete ndiyo wanataka kuwalisha hayo mambo ya ilani. Matatizo hayatatuliwi na ilani

1. Matatizo ya umeme ni ya sasa hayakuwepo kwenye ilani
2. Matatizo ya mafuriko hayakuwepo kwenye ilani
3. Mfumuko wa bei haukuwepo kwenye ilani
4. Tatizo la dollar halikuwepo kwenye ilani
5. Upungufu wa sukari haukuwepo kwenye ilani

sasa unavyosema ilani ilani ni nini hasa unazungumzia wakati matatizo ya sasa ndiyo hayo? Yaani watu waache kutatua matatizo ya nchi kwasababu ya ilani ya miaka iliyopita na matatizo ni mengine kabisa.

Vitu ambayo wanaweka kwenye ilani vingi hata vinavyojulikana havitekelezwi mfano mpaka leo ni nini hasa kimefanyika kukabiliana na rushwa? Nani kafugwa. Pili migogoro ya ardhi mingapi imetatuliwa je sera ya kupima ardhi yote imefikia wapi?
 
Kuna watu wengi ambao wapo CCM na ni wazalendo. Lazima muelewe sio matakwa yote ya CCM ni kwa faida ya nchi kuna mambo mengi sana ambayo ni kwa mafanikio ya tabaka la utawala ndani ya CCM. Tabaka hili lenye mtandao mkubwa ni wale wakubwa ambao ndiyo wanafanya maamuzi ikiwa ni pamoja na kuingiza marafiki zao na familia serikalini kwa mgongo wa CCM.

Ukiangalia faida zao binafsi ni kuwa na mawaziri watoto wao, ndugu na jamaa zao. Ukurugenzi na bodi mbalimbali. Hawajali madiliko yeyote ambayo hayawanufaishi wenyewe. Msinshangae kwenye uongozi kukuta majina ya Kikwete, Mwinyi, Samia, Pinda, Makamba, Lowassa, Nauye na wengineo ni utamaduni maalumu wa viongozi kuweka watu wao makusudi kwa faida yao na vizazi. vyao. Msishangae kuona wakwe, wake, na mashemaji mawaziri tena bila aibu.

Wana CCM wenye uzalendo nawashauri ungeni mkono mabadiliko ya katiba yenye tija. Vitu ambayo ni lazima muunge mkono ili tutoke hapa.

1. Katiba mpya hasa madiliko ya uundwaji wa serikali za mitaa, ukusanyaji wa kodi, mifumo yote , tume huru, ardhi na sheria zake, dual citizenship kwa watanzania diaspora, nguvu ya Raisi , sheria za rushwa, mahakama na kesi za kuchewa na rushwa.

2. Uwekezaji kwenye elimu na ajira ni lazima utokane na sera za uwekezaji na sio serikali pekee

Lakini kwa ujumla wake ushauri wangu acheni utamaduni wa uchawa wekeni uzalendo mbele
TATIZO WANACCM WENGI HAWAELEWI UMUHIMU WA KATIBA MPYA NDIO MAANA KWA KUTOKUJUA HILO HATA UBAYA WA KATIBA ILIYOPO HAWAUJUI
 
Kuna watu wengi ambao wapo CCM na ni wazalendo. Lazima muelewe sio matakwa yote ya CCM ni kwa faida ya nchi kuna mambo mengi sana ambayo ni kwa mafanikio ya tabaka la utawala ndani ya CCM. Tabaka hili lenye mtandao mkubwa ni wale wakubwa ambao ndiyo wanafanya maamuzi ikiwa ni pamoja na kuingiza marafiki zao na familia serikalini kwa mgongo wa CCM.

Ukiangalia faida zao binafsi ni kuwa na mawaziri watoto wao, ndugu na jamaa zao. Ukurugenzi na bodi mbalimbali. Hawajali madiliko yeyote ambayo hayawanufaishi wenyewe. Msinshangae kwenye uongozi kukuta majina ya Kikwete, Mwinyi, Samia, Pinda, Makamba, Lowassa, Nauye na wengineo ni utamaduni maalumu wa viongozi kuweka watu wao makusudi kwa faida yao na vizazi. vyao. Msishangae kuona wakwe, wake, na mashemaji mawaziri tena bila aibu.

Wana CCM wenye uzalendo nawashauri ungeni mkono mabadiliko ya katiba yenye tija. Vitu ambayo ni lazima muunge mkono ili tutoke hapa.

1. Katiba mpya hasa madiliko ya uundwaji wa serikali za mitaa, ukusanyaji wa kodi, mifumo yote , tume huru, ardhi na sheria zake, dual citizenship kwa watanzania diaspora, nguvu ya Raisi , sheria za rushwa, mahakama na kesi za kuchewa na rushwa.

2. Uwekezaji kwenye elimu na ajira ni lazima utokane na sera za uwekezaji na sio serikali pekee

Lakini kwa ujumla wake ushauri wangu acheni utamaduni wa uchawa wekeni uzalendo mbele
Naunga mkono HOJA 🙏
 
Kuna watu wengi ambao wapo CCM na ni wazalendo. Lazima muelewe sio matakwa yote ya CCM ni kwa faida ya nchi kuna mambo mengi sana ambayo ni kwa mafanikio ya tabaka la utawala ndani ya CCM. Tabaka hili lenye mtandao mkubwa ni wale wakubwa ambao ndiyo wanafanya maamuzi ikiwa ni pamoja na kuingiza marafiki zao na familia serikalini kwa mgongo wa CCM.

Ukiangalia faida zao binafsi ni kuwa na mawaziri watoto wao, ndugu na jamaa zao. Ukurugenzi na bodi mbalimbali. Hawajali madiliko yeyote ambayo hayawanufaishi wenyewe. Msinshangae kwenye uongozi kukuta majina ya Kikwete, Mwinyi, Samia, Pinda, Makamba, Lowassa, Nauye na wengineo ni utamaduni maalumu wa viongozi kuweka watu wao makusudi kwa faida yao na vizazi. vyao. Msishangae kuona wakwe, wake, na mashemaji mawaziri tena bila aibu.

Wana CCM wenye uzalendo nawashauri ungeni mkono mabadiliko ya katiba yenye tija. Vitu ambayo ni lazima muunge mkono ili tutoke hapa.

1. Katiba mpya hasa madiliko ya uundwaji wa serikali za mitaa, ukusanyaji wa kodi, mifumo yote , tume huru, ardhi na sheria zake, dual citizenship kwa watanzania diaspora, nguvu ya Raisi , sheria za rushwa, mahakama na kesi za kuchewa na rushwa.

2. Uwekezaji kwenye elimu na ajira ni lazima utokane na sera za uwekezaji na sio serikali pekee

Lakini kwa ujumla wake ushauri wangu acheni utamaduni wa uchawa wekeni uzalendo mbele
Kila mzalendo anajua umuhimu wa katiba Mpya.
 
baada ya uchaguzi mkuu 2025, jambo hilo laweza kua agenda.

kwasasa kazi kubwa iliyopo mbele ni kuwatumikia wanainchi na kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 na si vinginevyo 🐒
Wewe ni wale wale.
 
Back
Top Bottom