utamjoin au umesha mjoin hii lugha yaonyesha tayari umeshakunywa ndofu yako.kwani musa wote ni wafupi
na hawa hapa wa kwanza kushoto ruttashobolwa, Arushaone, bombu Madame B
hapa walikuwa wanafurahia kupigwa picha na babu yao Bishanga,
Si unacheki nilivyokuwa beaut tangu mdogo?
Ila nahs kama ruttashobolwa alikuwa bado hajafika mjini vile.
Babu Asprin j2 nitakualika kwenye ibada kwa ruhusa ya wake zako@yummy cacico BADILI TABIA. Nahisi unahitaji maombi maalum.
Orait mwaJ usjali. Huyu Asprin nikirudi vitani atatutambua kwa kuanika picha yetu yaani wananchi wanatuoneaje wivu? Nimepata tetesi japo upp busy kuna vijana kina BAGAH na Erickb52 wanakuzengea hapo job na kuhonga viazi vya futari. Nawapa onyo la mwisho.
Asprin anatafuta umaarufu kupitia watu maarufu zaidi.
Ninamshangaa anatafuta umaarufu gani zaidi wakati yeye tayari ni maarufu hapa JF. Mie naona anatafuta uchokozi tu agombane na wenzie bureee!