Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Tuwakaribishe na mikia fc. Wasipokuja shauri yaoKwanza kabisa kama wewe ni mkia soma na upite kimyakimya bila kuacha omo..
Pili,kwa nionavyo upepo kombe linabaki nyumbani kwao lilipopazoea so tupange mikakati ya kumpokea mwali sisi kama members wa jf ambao ni fans wa timu pendwa (Yanga)
Sio mbaya hata siku hiyo baada ya mechi ya ubingwa tukakutana sehemu kwa sisi wa dar tukajipongeza na kufahamiana au mnasemaje wadau?
Kwanza kabisa kama wewe ni mkia soma na upite kimyakimya bila kuacha omo..
Pili,kwa nionavyo upepo kombe linabaki nyumbani kwao lilipopazoea so tupange mikakati ya kumpokea mwali sisi kama members wa jf ambao ni fans wa timu pendwa (Yanga)
Sio mbaya hata siku hiyo baada ya mechi ya ubingwa tukakutana sehemu kwa sisi wa dar tukajipongeza na kufahamiana au mnasemaje wadau?
Tuwakaribishe na mikia fc. Wasipokuja shauri yao
Hahahahaha. Wanaweza kutuloga mazima.View attachment 509018 Tuwakaribishe pamoja na hii Kamati yao ya Ufundi - ya Simba Sports Club.
Watachafua hali ya hewa banaTuwakaribishe na mikia fc. Wasipokuja shauri yao
Duh hii kamati si ya mchezo naona huko ilipo inafanya kazi usiku na mchana kwa ajili yetu..,View attachment 509018 Tuwakaribishe pamoja na hii Kamati yao ya Ufundi - ya Simba Sports Club.
Ayaaaaaaah,sikubali. Ngoja nitafute yangu.. Nifar mm Yangu tayari
Mkuu Niffa tukiwa funga Toto hiyo nisherehe yenyewe, maana goal difference na simba ni 11, hawezi funga goal zote hizo kwa match moja iliyo bakiNi wazo zuri,subiri tumtafune Toto na turande mbao kwanza kisha tutajadili.
Sio kumi na moja tu na Toto atakula kichapo kwahiyo difference ni kubwa kwa mbumbu fcMkuu Niffa tukiwa funga Toto hiyo nisherehe yenyewe, maana goal difference na simba ni 11, hawezi funga goal zote hizo kwa match moja iliyo baki
Hahahaaaaaa kheri,asanteni kwa kuniondolea wasiwasi wakuu.Mkuu Niffa tukiwa funga Toto hiyo nisherehe yenyewe, maana goal difference na simba ni 11, hawezi funga goal zote hizo kwa match moja iliyo baki
Sio kumi na moja tu na Toto atakula kichapo kwahiyo difference ni kubwa kwa mbumbu fc