Wana falsafa na jina la daktari

Moony

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
1,599
Reaction score
436
Nasikia na kuona maandishi kwa kila mwenye shahada ya uzamivu kuitwa daktari!!!

Je hii ni sahihi? bakita wangetusaidia kwa hili.

Kwa maoni yangu: daktari ni tabibu na huyu mwanazuoni mwingine ni dakta au litafutwejina jingine. tuwaachie matabibu jinalao na heshima yao wanayo stahili.
 
Ukifikia degree ya tatu katika fani ileile hata kama ni mapishi wewe ni daktari katika hiyo fani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…