Wana idara kuwa na njaa (kupiga mizinga) au mishen town?

Wana idara kuwa na njaa (kupiga mizinga) au mishen town?

Latoya

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
660
Reaction score
457
Habari za usiku sana bodi

Nikiri nimekuwa nakutana na hawa jamaa sana either kazin au mtaani,ila sana sana kazin.

Wanakuja kwa gear ya mapenzi and all that ila baada ya muda wanaanza kukulilia njaa.

Mmoja alijitambulisha ila wengine wawil niliwahis tu. Ishu kubwa wana njaa sana.mtu ana kubom hadi hela ya lunch au chai,halfu daily.

Ni kwel ni wana idara ama mishen town tu
Kwan sidhan mwana idara inaweza kuwa mtu wa njaa njaa duh

Halafu wana kazi na mishahara kabisa ila ndo full udananda wa kina petit money
Au ndo vyuma kukaza?

Ni aibu sana kwa mwanaume ana elimu kazi nzuri afu anakuwa ombaomba kwa wanawake .
 
Habari za usiku sana bodi

Nikiri nimekuwa nakutana na hawa jamaa sana either kazin au mtaani,ila sana sana kazin.

Wanakuja kwa gear ya mapenzi and all that ila baada ya muda wanaanza kukulilia njaa.

Mmoja alijitambulisha ila wengine wawil niliwahis tu. Ishu kubwa wana njaa sana.mtu ana kubom hadi hela ya lunch au chai,halfu daily.

Ni kwel ni wana idara ama mishen town tu

saidia tu mkuu kwani hujui kutoa sadaka???
Kwan sidhan mwana idara inaweza kuwa mtu wa njaa njaa duh

Halafu wana kazi na mishahara kabisa ila ndo full udananda wa kina petit money
Au ndo vyuma kukaza?

Ni aibu sana kwa mwanaume ana elimu kazi nzuri afu anakuwa ombaomba kwa wanawake .
 
Habari za usiku sana bodi

Nikiri nimekuwa nakutana na hawa jamaa sana either kazin au mtaani,ila sana sana kazin.

Wanakuja kwa gear ya mapenzi and all that ila baada ya muda wanaanza kukulilia njaa.

Mmoja alijitambulisha ila wengine wawil niliwahis tu. Ishu kubwa wana njaa sana.mtu ana kubom hadi hela ya lunch au chai,halfu daily.

Ni kwel ni wana idara ama mishen town tu
Kwan sidhan mwana idara inaweza kuwa mtu wa njaa njaa duh

Halafu wana kazi na mishahara kabisa ila ndo full udananda wa kina petit money
Au ndo vyuma kukaza?

Ni aibu sana kwa mwanaume ana elimu kazi nzuri afu anakuwa ombaomba kwa wanawake .
Mmoja alijitambulisha, wengine umewahisi, halafu unauliza humu kama ni wao au wengine! Hii thread peleka chitchat
 
Habari za usiku sana bodi

Nikiri nimekuwa nakutana na hawa jamaa sana either kazin au mtaani,ila sana sana kazin.

Wanakuja kwa gear ya mapenzi and all that ila baada ya muda wanaanza kukulilia njaa.

Mmoja alijitambulisha ila wengine wawil niliwahis tu. Ishu kubwa wana njaa sana.mtu ana kubom hadi hela ya lunch au chai,halfu daily.

Ni kwel ni wana idara ama mishen town tu
Kwan sidhan mwana idara inaweza kuwa mtu wa njaa njaa duh

Halafu wana kazi na mishahara kabisa ila ndo full udananda wa kina petit money
Au ndo vyuma kukaza?

Ni aibu sana kwa mwanaume ana elimu kazi nzuri afu anakuwa ombaomba kwa wanawake .
Hii thread sio sehemu yake huku..
 
Back
Top Bottom