Wana - Iramba tunasubiri kwa hamu kutimuliwa kwa Jesca Kishoa

Wana - Iramba tunasubiri kwa hamu kutimuliwa kwa Jesca Kishoa

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Miongoni mwa Wadada na Wanawake ambao wapenda Demokrasia Tunasubiri Kwa hamu watimiliwe CHADEMA ni huyu Jesca Kishoa.

Ambaye amefanya CHADEMA Iramba kama KIKOBA !Kwa Unafiki ambao amekuwa akitufanyia na kutufanyia sisi punda wake.

Hakika kama Kuna kitu Cha Maana ambacho Baraza Kuu litafanya na kufukiza chawa hawa akiwamo Jesca Kishoa.

Mungu husimama na wenye Haki.
 
Chase mnamalizwa na chuki binafsi ndani ya mioyo yenu.
Wewe mleta mada ni mfukuzia uteuzi.

Sema wana chadema Iramba.
 
Nyumba ndogo wa kiongozi anafukuzwaje? Matunzo ya watoto yatoke wapi? Hapo wamewekwa kimkakati. Ni Siri kubwa sana, ukiona nyani mjini ujue ana mwenyewe
 
Miongoni mwa Wadada na Wanawake ambao wapenda Demokrasia Tunasubiri Kwa hamu watimiliwe CHADEMA ni huyu Jesca Kishoa!

Ambaye amefanya CHADEMA Iramba kama KIKOBA !Kwa Unafiki ambao amekuwa akitufanyia na kutufanyia sisi punda wake!

Hakika kama Kuna kitu Cha Maana ambacho Baraza Kuu litafanya na kufukiza chawa hawa akiwamo Jesca Kishoa!

Mungu husimama na wenye Haki
Afukuzwe haraka amfuate mumewe Simiyu
 
Nyumba ndogo wa kiongozi anafukuzwaje? Matunzo ya watoto yatoke wapi? Hapo wamewekwa kimkakati. Ni Siri kubwa sana, ukiona nyani mjini ujue ana mwenyewe
Yaelekea hata Jesca humjui, umejikuta tu unachangia UZI kwasababu tayari ulikua na majibu yako kichwani ya Chadema hata kabla ya UZI kutoka; Jesca Kishoa ni mke wa mkuu wa mkoa wa Simiyu....! Uwe una reflesh ubongo wako mara kwa mara, sio dhambi wala
 
Hao covid 19 leo watimuliwe cdm isije fanya kosa la kuwasamehe dharau zao hazivumiliki hasa bwana yule mwenye sauti nzito ndiye aliwashauri wenzie vibaya waignore mandate ya chama kilichowapa umaarufu kwa miaka mingi
Wakina mdee watasamehewa na hakuna kitu mtawafanya. Maagizo ya Rais lazima yatekelezwe.
 
Miongoni mwa Wadada na Wanawake ambao wapenda Demokrasia Tunasubiri Kwa hamu watimiliwe CHADEMA ni huyu Jesca Kishoa.

Ambaye amefanya CHADEMA Iramba kama KIKOBA !Kwa Unafiki ambao amekuwa akitufanyia na kutufanyia sisi punda wake.

Hakika kama Kuna kitu Cha Maana ambacho Baraza Kuu litafanya na kufukiza chawa hawa akiwamo Jesca Kishoa.

Mungu husimama na wenye Haki.
Ndg.Jesca Kishoa ni chawa wa nani ?!!!

Mnamshambulia kwa sababu tu ni mke wa ndg. David Kafulila?!!!

#Siempre JMT🙏
 
Back
Top Bottom