Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Ila jamani wanajf kwa nini mnaninyanyasa mtoto wa mwenzenu.
Eeeh mtoto mbichi miyee hata miaka 25 sijafikisha chuchu konzi mnaniambia mm mzeee looh hebu mniachee.
Kuanzia leo sitaki kuzeeshwa mimi ndo kwanza bado binti mbn mnanilazimisha mimi kucomment kama mbibi mambo gani ya kuzeshana jaman agrrrrrr
Alafu mambo ya kunionea wivu kisaa bado binti inatoka wapii jamani yan unakutana na mtu ananizaa yupo busy kumjadili Demiss katoto kadogo khaaaa hebu niacheni jaman.
Nyongeza:
Yote tisa wanajf hamjamiss kitumbua kitamu tamu kama changu?
Updates!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyongeza ya pili:Sitaaacha kuringa kamwe na hivi nina kazi ya uhakika inanipa pesaa.
Location: Dar
.
Eeeh mtoto mbichi miyee hata miaka 25 sijafikisha chuchu konzi mnaniambia mm mzeee looh hebu mniachee.
Kuanzia leo sitaki kuzeeshwa mimi ndo kwanza bado binti mbn mnanilazimisha mimi kucomment kama mbibi mambo gani ya kuzeshana jaman agrrrrrr
Alafu mambo ya kunionea wivu kisaa bado binti inatoka wapii jamani yan unakutana na mtu ananizaa yupo busy kumjadili Demiss katoto kadogo khaaaa hebu niacheni jaman.
Nyongeza:
Yote tisa wanajf hamjamiss kitumbua kitamu tamu kama changu?
Updates!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyongeza ya pili:Sitaaacha kuringa kamwe na hivi nina kazi ya uhakika inanipa pesaa.
Location: Dar
.