Wana jamiiforum kwa nini mnapenda kunizeesha Demiss miye!

Unanijua vizuri saaana... Mimi siwezi kabisaaa kukuwazia hayo... Nilikuambia jana na leo nakuambia ishi wewe kama wewe mdogo wanguu. Hakuna alokuleta humu. Hayo unayoyasikia hayajiandiki kwenye uso wako... Wala yasikuumize ni ya binadamu tuu
Hahahhahaha haya dada x mas wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…