Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
SIO YEYE!Wakuu unajua hii forum bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. Forum inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
Nadhani hatufungamani na mambo kiimani bali hii ni platform huru kwa ajili ya mijadala mbalimbali, kupeana elimu na ufahamu.. Hatuna utaratibu wa kutoa maamuzi ama msimamo kwenye mambo yanayotokea kwenye jamiiWakuu unajua hii forum bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. Forum inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gwajima alisema kuwa ''Aliyevujisha video hajamuaibisha bali amethibitisha kuwa yeye ni mwanaume na kazi anaweza"
Swala kubwa sana hili..Ni lazima tuwe na msimamo kama kundiNadhani hatufungamani na mambo kiimani bali hii ni platform huru kwa ajili ya mijadala mbalimbali, kupeana elimu na ufahamu.. Hatuna utaratibu wa kutoa maamuzi ama msimamo kwenye mambo yanayotokea kwenye jamii
OkSwala kubwa sana hili..Ni lazima tuwe na msimamo kama kundi
Ndio mkuuUmeamua uilete na huku baada ya kuona kule hakuna mwitikio 😂!! View attachment 1093148
wewe unasemaje? tuanzia hapo!Wakuu unajua hii forum bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. Forum inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
Hapo sasa!! ngoma inogileSIO YEYE!
Una uhakika gani mkuuImeungwa ungwa ile, sio yeye
Mi Nimechanganyikiwa mkuu mwanzo nilikuwa njia panda..ila watu wakaja nikaambiwa ni yeye nikashawishika, ila kuna watu wakaja na hoja nzito kuwa sio yeye nikawaamini, nilipowaamini tena watu wengine tofauti wakaja na hoja nzito zaidi kuwa ni yeye kabisa, wakaja wengine tena wakaniamisha sio yeye tena, na wengine, na wengine na wengine...Dah, kichwa kinaniumawewe unasemaje? tuanzia hapo!