Wana jf Huyu madam Rita chief judge (bss) vipi?

Alwayz on top

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
706
Reaction score
268
Hivi huyu Rita poulsen ameolewa? au kaposwa? kwa sbb ana ukosha sn moyo wng yupo bomba mbaya najpanga kufanya mipango lkn kabla cjafanya mipango ya kumfata naomba mwenye kujua details zake anipe najua baadae atakua shemej yenu msiwe na wivu...
 
Si ukamuulize mwenyewe si hatuchunguzagi maisha ya watu
 
Hivi huyu Rita poulsen ameolewa? au kaposwa? kwa sbb ana ukosha sn moyo wng yupo bomba mbaya najpanga kufanya mipango lkn kabla cjafanya mipango ya kumfata naomba mwenye kujua details zake anipe najua baadae atakua shemej yenu msiwe na wivu...


Utaishia kumaliza sabuni tu...
 
Ukijipanga fresh mbona unan'goa tuu. Kazi kwako chief.
 
we unamjua bwana machache wewe? una hela kama za kwake? au unaota mwenzetu?
yule alitolewa nchi za jirani na mh dkt bwana machache alipoenda huko baada ya kukosana na mke wake aliyetoka nje ya ndoa na daktari wa familia... baada ya kupata service nzur na kupunguza machungu akampromote mama yetu madamu..... kwa sasa bwana machache amesharudiana na mke wake saa sijui kama madamu ana mtu ila najua ana mtoto mwenye umri wa miaka kati ya 19-22
 
opposite ya machache nini vile
 
kama mle ana hucka bwana machache natangaza kujivua Gamba lkn kwa shingo upande moyo unaumaa kitu kinaonekana kizur na kitamu halafu kinakubali kua small house..aaaaaaah ndo mana kampa kipind cha masaa 2 kwenye t.v yake.
 
Hivi yule Salama J bangi mtu anagongwa na nani? au mbele kaweka dushelele la plastic?
 
acha nipite huku nimefumba macho nisisikie mazungumzo yenu
 
Hivi huyu Rita poulsen ameolewa? au kaposwa? kwa sbb ana ukosha sn moyo wng yupo bomba mbaya najpanga kufanya mipango lkn kabla cjafanya mipango ya kumfata naomba mwenye kujua details zake anipe najua baadae atakua shemej yenu msiwe na wivu...

Mmhhh mtu mzima wewe yule utampeleka wapi anakimbilia miaka 60 hela tu zinam'galisha kizazi kimeshafunga
 
Hivi yule Salama J bangi mtu anagongwa na nani? au mbele kaweka dushelele la plastic?

Salama hana tofauti na kongosho hajulikani ni mwanamke au mwanamme
 
Salama hana tofauti na kongosho hajulikani ni mwanamke au mwanamme

Mkuu mbona una maneno makali hivyo kwa salama..? Ulipitia kwenye bss mchujo ukakutana nae nini..? Akakuwasha..?
 
Mkuu mbona una maneno makali hivyo kwa salama..? Ulipitia kwenye bss mchujo ukakutana nae nini..? Akakuwasha..?

Mkuu nitake radhi hiyo bss nina mwaka wa tatu sijaangalia
Zaidi ya kusimuliwa na vijana wangu tu kinachoendelea
 
Mkuu nitake radhi hiyo bss nina mwaka wa tatu sijaangalia
Zaidi ya kusimuliwa na vijana wangu tu kinachoendelea

Mkuu naomba uniwie radhi.. Nilidhani ni wa umri wa hawa vijana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…