Wana Jf Karibuni Tanga

marejesho hata 'after morning pill' hamkubeba? kwi kwi kwi kwi......

Sijui ni kulogwa..... Nilibeba hizo pills lakini nilizisahau kabisa.... Nimekuja kukumbuka jana jioni baada ya kufika Arusha....
Duniani kuna maajabu Bishanga ,...... Hapa nasubiria tu ...Akitokea ataitwa 'LIKE FILIPO"
 
Last edited by a moderator:
Sijui ni kulogwa..... Nilibeba hizo pills lakini nilizisahau kabisa.... Nimekuja kukumbuka jana jioni baada ya kufika Arusha....
Duniani kuna maajabu Bishanga ,...... Hapa nasubiria tu ...Akitokea ataitwa 'LIKE FILIPO"

i can see Filipo smiling in his dreams,jf bana.....haya mpendwa naanza kuhesabu siku........
 
Last edited by a moderator:
Sijui ni kulogwa..... Nilibeba hizo pills lakini nilizisahau kabisa.... Nimekuja kukumbuka jana jioni baada ya kufika Arusha....
Duniani kuna maajabu Bishanga ,...... Hapa nasubiria tu ...Akitokea ataitwa 'LIKE FILIPO"

Huuureee!!! Akiwa wa kiume tutamwita PM, akiwa wakike tutamwita Mention!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…