Sijui ni kulogwa..... Nilibeba hizo pills lakini nilizisahau kabisa.... Nimekuja kukumbuka jana jioni baada ya kufika Arusha....
Duniani kuna maajabu Bishanga ,...... Hapa nasubiria tu ...Akitokea ataitwa 'LIKE FILIPO"
Sijui ni kulogwa..... Nilibeba hizo pills lakini nilizisahau kabisa.... Nimekuja kukumbuka jana jioni baada ya kufika Arusha....
Duniani kuna maajabu Bishanga ,...... Hapa nasubiria tu ...Akitokea ataitwa 'LIKE FILIPO"
umeniogopesha
Huuureee!!! Akiwa wa kiume tutamwita PM, akiwa wakike tutamwita Mention!
marejeshooooooo!!! mie nakutazama tu!
Hah ahah haaa.......hivi kumbe nilikosea? Nadhani ule muda naandika huyu Vin Diesel alipita kwenye mind yangu.....