Ndugu zangu Wana JF ningeomba kama kuna mtu anajuwa mambo yanayohusu Telnet anifahamishe ni jinsi gani namna ya kutumia hiyo Telnet mimi ninatumia Windows 7 ningeomba anaifundishe nama ya kutumia hiyo Network ya Telenet naombeni msaaada wenu asanteni sana.