Wana JF kwa wale wanao-oa mke wa pili au tatu... unamwambiaje mkeo uliye naye.!!??

maelezo mengi, in short mbona hao wanawake mnao wao wanakuwa kama Chui na Kondoo, maadui wa kuuana, na ushahidi mwingi,
tena wana gombana hata kutaka kutoana roho, Ndoa nyingi na ushahidi upo, so unaona mke wa kwanza hamjakubaliana,

Of course hilo lipo!
Tatizo si kugombana umetaka kujua kuna umuhim kulijadili hilo wana ndoa?
Utalijadili ilhal muumin anaelewa umuhim wake!
Kiubin-adam atajiuliza maswali mengi...ndio maumbile yao.
Rejea historia ya baba yetu Mzee Ibrahim(a.s) au Abraham(Pbu) kwa wake zake ilivyokua.
I tell u ....in short tu.
 
Zinaa zinasumbua tu hapa mke mmoja anatosha yanini ujipe shida bwana???


zinaa?
Kwa waislam ni Ruksa kuoa mke zaidi ya mmoja. Ilimurad utekeleze wajib wao.
Uwe mwadilifu kwao.
Kula,kulala,kuvaa n.k.
Japo kupenda ipo moyoni ni ngumu kuuweka fair to them.
 
mmhh nimesoma hapo juu...
nikawa nawaza hivi itakuwaje ka baba watoto anakuja nyumbani halafu akwambia
sentensi moja kati ya hizo..
mmmmmmhhhh bado sijapata jibu...
Si afadhali huyu anaekwambia kuliko anaekuwa na nyumba ndogo ya siri ?
 
Si afadhali huyu anaekwambia kuliko anaekuwa na nyumba ndogo ya siri ?

hapo umeongea cha maana sana..

lakini Mr.President ameuliza utamwambieje mkiwe kama unataka kuoa tena..
sasa mimi ndo nimeanza kufikiria response ntamjibu vipi??
 

pole, pole sana, ila uwe makini kabla hujamtoa bibi aburuzwe, be careful, LOVE IS A BIG ILLUSION....!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…