Hi Mr President,
Unajua kuna namna wanaume wamepewa ubinafsi na hawana roho za kuugua na yale mabaya wanayofanya kama kudanganya wanawake,mi nilishadanganywa na mume wa mtu kuwa anataka kumuacha mke wake kwa kuwa ana kansa ya kizazi,kwa hiyo alitaka anioe mimi kimila........instinct zangu zikaniambia huu ni uongo nikampotezea kimoja,siku moja niko hospitali namuona huyo na mkewe mjamzito na kumbe ni mdada tumesoma nae na tukakumbatiana kwa furaha na yule dada as hatukuwa tumeonana siku nyingi...........alipoingia kwa Dr nilimuomba tuongee nje,nikampiga kibao na kumwagia maji..................ndipo nilipojua mwanaume akitaka uchi wako hashindwi kukuambia ametoka kumzika mkewe juzi......ni waongo mno,so mi sishangai kusikia akija na uongo wake,ntakachofanya ni kuangalia kama nakubaliana nae au lah,siwezi naachia ngazi namuachia aoe mke mwingine,maisha yataendelea tu bila yeye.