Mkuu unasikitisha jambo moja, tu, UNASHINDWA KABLA YA KUANZA, Mkuu hutakiwi kushindwa kabla ya kuanza na unatakiwa uamini kwamba utafanikiwa,
Kwa sababu umeisha jua sababu za kushindwa huna budi kupambana nazo mapema kabisa na kuzishinda
KUHUSU GHALAMA
1. Mkuu si razima uanze na vyote hivyo, mfano freeza, unaweza tafuta za mitumba zinazo uzwa, ukaongea na mtu aliye karibu na ulipo mwenye freeza ukawa unatumia ya kwake kwa muda na kumlipa kiasi fulani mpaka utakapo sima
2. Viti si razima ununue vipya, unaweza anza na mabenchi mkuu, kinacho waleta wateja si viti make hata nyumbani kwao vipo tena vikali sana na wameviacha, Mteja atakuwa mwenda wazimu kama atakuwa analetwa na viti, anza na mabenchi kwanza mkuu, kikubwa ni location nzuri na huduma nzuri
3, Hizo za usajiri ninavyo jua ni bure
Kwa hiyo mkuu hutakiwi kushindwa kabla ya kuanza, na ukianza ukiwa na mawazo ya kushindwa hakika utashindwa, ila unatakiwa kuwaza kufanikiwa daima,